Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
😂😂Uto kubahatisha kidogo tu aka jikuta wa uku kumbe niwa mpwapwani ukoWala haturingi sisi. Uto wanauchungulia uzi kwa ghadhabu sana. Sisi ni wakimataifa eleweni hili.
Simba ikitajwa tu ohhhh watu wanaanza kujitafuta.
Mechi haijaisha mzee punguza kujieleza sanaaSimba tukipata point 3 mechi hii tutakuwa tumefika asilimia 75 za kujihakikishia tumevuka.
Baada ya hapo focus tutaihamishia kwenye kupambania kumaliza wakwanza kwenye kundi ili draw ya robo tupangwe na kibonde.
Now kila timu itayopangwa na Simba itakuwa inacheza kwa hofu kwasababu ya ubabe wake wa kupiga nje ndani.
Kwa kipindi hiki tutapenda tu maana Simba SC wanacheza mpira mzuri sana mno sisi yanga SC tunapitia kipindi kigumu mno na tunapata sana gadhabu aisee 😂 😃 😁 😄Mtani hapendi ujueView attachment 3172497
Yanga walipofika fainoli kidogo wajengewe mnara pale madimbwini.Kombe la timu ndogo ndogo
Now kila timu itayopangwa na Simba itakuwa inacheza kwa hofu kwasababu ya ubabe wake wa kupiga nje ndani.Simba tukipata point 3 mechi hii tutakuwa tumefika asilimia 75 za kujihakikishia tumevuka.
Baada ya hapo focus tutaihamishia kwenye kupambania kumaliza wakwanza kwenye kundi ili draw ya robo tupangwe na kibonde.
Now kila timu itayopangwa na Simba itakuwa inacheza kwa hofu kwasababu ya ubabe wake wa kupiga nje ndani.
Wakakumbatie transformer hasira iishe.Warabu wanahasira balaa
Anakimbia kama Ng'ombeATEBA ajfundushwe namna ya kuua offside trick.
Hata league ya ndani offside nyingi
Yanga walipofika fainoli kidogo wajengewe mnara pale madimbwini.
Huwa ana mshipa wa aibu huyu TOPOLO!!?Kuna mahali ifike uone aibu
Acha wivu wewe. Utajifungua kabla ya wakati.Goli lenyewe la offside [emoji51][emoji51]