Mhimili uliojichimbia
Senior Member
- Jul 2, 2017
- 172
- 191
Usiwapandishe mkuu ni nafasi ya tatu(3)Yaani tunacheza Nao kama watoto.wetu kabisa..
Halafu ukiambiwa Eti ndo.wanaongoza Ligi ya Algeria na Wale waliomcharaza Utopolo wako nafasi ya Pili Huwezi kuamini
Uto sherehe yenu imeingia mchanga,mnakuja kutibua furaha ya mnyama.
Magoal ya kichawii ndani ya Looser cup
Who lose what to be called a loserπMagoal ya kichawii ndani ya Looser cup
Mkono Umeteleza Nafasi ya Tatu nafasi ya Pili ni ES SattifUsiwapandishe mkuu ni nafasi ya tatu(3)
Aliyeanzisha uzi kaishiwa bando nini?
Looser Ambao wanaongoza League kwenye Ligi zao..Magoal ya kichawii ndani ya Looser cup
Hata ikiisha tumefungwa bado hatuwezi kufanana na wale waliocheza jana hapo Algiers.Mechi haijaisha mzee punguza kujieleza sanaa
Looser Ambao wanaongoza League kwenye Ligi zao..
Simba Inaongoza League na Constantine Pia Huoni kama Ndo mabingwa??
Nini na weweπ€£π€£
Google "yalla shoot" web ya kwanza ingia. NB uwe na ad blockerWakuu nielekezeni pa kuangalia hii mechi mubashara...Huu uhondo sitaki unipite.