Full Time: CS Constantine 2-1 Simba Sc | CAF confederation cup| December 8, 2024

Mc Alger ni wa tatu ila ina michezo pungufu, akishinda kiporo anaongoza ligi
 
Unaijua football, hujaongea ukajimaliza kama wenzako.
Mkuu ni vile tu kujimwambafai maneno ya mpira lakini matatizo ya timu zetu tunayajua kuna wewe unasema najua mpira wakati nilipokuwa natazama mpira kuna wana nilikaa nao nkawaambia kabisa kauli kama nlosema humu wakanizonga mbaya wakanita mamluki ingawa nilikuwa na uzi tena wa mwaka huu kabisa kisa tu ni namna simba walivyokuwa wanacheza kipindi cha kwanza, basi tu watu wanajisahaulisha tatzo la simba ni hilo reference ni mechi tulopigwa tano na yanga si tulitangulia haya kw msimu huu tena ile mechi nadhan na coast tulitangulia lakini mwsh wa mchezo ubao ukasoma sare utanikumbusha mechi nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…