Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
SUB KWA SIMBA DAK. 76
NOUMA
MUKWALA
Wanaingia
ATEBA
ZIMBWE JR
Wanatoka
NOUMA
MUKWALA
Wanaingia
ATEBA
ZIMBWE JR
Wanatoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali na ulevi, hajui tu mpira, football IQ yake ni ndogo mnoo. Hana vision, bado yupo slow kwenye maamuzi, ball control ya kawaida.Ahoua ni mlevi wa kupindukia hafai kuchezea timu yoyote kubwa
Ulikuwa wapi jana?Chenga ndiyo magoli yetu au hatukukubaliana hivyo?
Kubaliana na hali mwarabu kawanywea alkasusu leo
Wewe ndiyo unaotaUnaota😂
[emoji23][emoji23][emoji23] wee jana mbna hata hukurudisha. WoooiiiiiihLeo mtasema yote mbele ya alkasusu ya mwarabu
Nenda uwanjani Algeria ukamwambie kwenye masikio yake
Poleeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie kina nani? Mie nashabikia tz prisons
Mbali na ulevi, hajui tu mpira, football IQ yake ni ndogo mnoo. Hana vision, bado yupo slow kwenye maamuzi, ball control ya kawaida.
Hana hadhi ya kuchezea timi kubwa.
Oya huyu mwarabu leo atawafanya mrudi kwa mafungu mafunguUlikuwa wapi jana?
Alikuambia nani kuwa matokeo ya leo yatakupa furaha usahau ya jana?
Nyie Mjerumani vipi?. Fadlu haendi popote ndio Kwanza amefika😂😂Wewe ndiyo unaota
Mwenzenu kashasema hamtaki msauzi
Na Ahoua, sionagi hata anachofanya hapo uwanjani.Kibu wangemtoa mimi.Huwa nashangaa Kwanini Huwa wanamuweka
Hizo sub za mauajjDakika ya 78
CSC wanapata kona baada ya Simba kuzembea ule mpira... Kona inapigwa beki za Simba wanakaa imara kuzuia
79' SUB KWA CSC
REBIAI
MOUAKI
wanaingia
Muda sio mrefu pira gusa achia mtaliona na vilio vya sindano vitarudi tenaNyie Mjerumani vipi?. Fadlu haendi popote ndio Kwanza amefika😂😂
Ila hawa simbilisi eti wanabishaWahenga walisema, kutangulia si kufika...
Hizo sub za mauajj
Mwarabu
WA mwisho kwenye kundi😄😄Muda sio mrefu pira gusa achia mtaliona na vilio vya sindano vitarudi tena