Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Uthibitisho kuhusu uwepo wa Mungu..Hoja yako hasa Nini? Au umechanyangikwa na waarabu
Hoja umeianzisha mwenyewe halafu unauliza hoja ni nini ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uthibitisho kuhusu uwepo wa Mungu..Hoja yako hasa Nini? Au umechanyangikwa na waarabu
Wawekee na Yao point 0 goli 0πππHiki hapa
View attachment 3172541
Wenye timu wamepoteana, tumebaki tunaendeleza uzi. ππππππ
Nina raha tu, nashushia na Baileys Irish cream hapa. Cheer's kwa CS Constantine π₯
Huwezi kukijua kwasababu hujawahi kukipataNdio Nini sasa
Wamekatwa huko uarabuni midomo Yao Leo kimyaa Hawa makolo bin 5Wenye timu wamepoteana, tumebaki tunaendeleza uzi. ππππππ
Nina raha tu, nashushia na Baileys Irish cream hapa. Cheer's kwa CS Constantine π₯
Pole sana, karibu wine hapa π₯Usifurahie sana anguko la adui Mkuu. Kweli mie mwananchi ila kupoteza Kwa Simba Leo imeniuma sana. Napata Panadol hapa
Mnapigwa kwenye mashindano ya akina mamaBora sisi tumetoka 2-1 kiume π€£π€£
Hiki hapa kitu mwanetuHuwezi kukijua kwasababu hujawahi kukipata
Kawaulize walioko juu yako kwenye table
Ndiyo kwanza nimezaliwa leo. Jana nilikuwa bado tumboni Mkuu.Jana ulikuwa wapi mkuu?
Soma ubaoNdio hayo mlilala na medali zake mwezi mzima
Tatizo wana midomo sana.Wamekatwa huko uarabuni midomo Yao Leo kimyaa Hawa makolo bin 5
Hongereni mmeshinda43' 0-1
Wamelambwa Hawa makolo bin 5Tatizo wana midomo sana.
Soma score boardKama yalivyowakuta jana sio?