Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Amkeni wamekatwa ππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninyi mmekatwa 2 mtungi bila shots on targetWamekatwa huko uarabuni midomo Yao Leo kimyaa Hawa makolo bin 5
Inafaa wakijiwekea wenyewe πΈπΈWawekee na Yao point 0 goli 0πππ
Nakagua risiti.HT
MNYAMA MKALI ANAONGOZA KWA GOLI 1.
Sio Leo Toka zamani mnyama kalambwa ugeniniNinyi mmekatwa 2 mtungi bila shots on target
Tumecheza mara ngapi hayo mashindano? Cha kukushangaza ni nini?Mnapigwa kwenye mashindano ya akina mama
Vip mkicheza club bingwa si mtapigwa 16
Nakagua risiti.Yaani tunacheza Nao kama watoto.wetu kabisa..
Halafu ukiambiwa Eti ndo.wanaongoza Ligi ya Algeria na Wale waliomcharaza Utopolo wako nafasi ya Pili Huwezi kuamini
Waendeleee kuwapa Raha waarabu5imba wafanye nini kipindi cha tatu?
Nani alikudanganya kuwa kumcheka sana Yuda kutakufanya uwe Yesu?Hiki hapa kitu mwanetuView attachment 3172542
We ni muongo uliyechangamka...Ndiyo kwanza nimezaliwa leo. Jana nilikuwa bado tumboni Mkuu.
Nakagua risiti.Waliokuwa wanatafuta furaha kwenye mechi ya leo wanaweza kujikuta wanatonesha kidonda
Poleni sana kwa kutiwa madole na mwarabu yule mwenye uchuJana baada ya mechi Yao zilianzishwa nyuzi zaidi ya 50 kumkataa kocha, Hersi na wacgezaji. Leo kama utaona huo upuuzi.
Kama jana mkuu π π πππππππππππππππππππππππππNani alikudanganya kuwa kumcheka sana Yuda kutakufanya uwe Yesu?