joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mngehimili dk 15 za kipindi cha pili mlikuwa mnashinda hii game.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora sie nyie kila mtu mnamwachia waaah..goli 4 waaahHutaki kukubali mmetiwa viwili ah namna gani?
Haya simba 5
Waarabu 0
Ya CAF mtani wangu 😃 😃 😃 😃 😃Acha kuwadanganya wenzio....hyo y awapii
Aah wapi hujui hesabu?? Angali vzrYa CAF mtani wangu 😃 😃 😃 😃 😃
😀😃😃Aah wapi hujui hesabu?? Angali vzr
Yaani umeliwa na unasema bora wewe wakati mwarabu kakunywea alkasusu?Bora sie nyie kila mtu mnamwachia waaah..goli 4 waaah
Bantu lady, mashallah wee mzuriEti nasikia simba kaenda Uarabuni, kalala chali? Nyie ana mapacha sasa, itakuaje?
Ukimtoa rage wanaobaki ukoloni ni mbumbumbu.Unaonaje tukianzia na hii ya kibudenga kutia goli 5 leo peke yake?
Simba 5
Waarabu 0
We fala mi sina kipara
Mungu fundi, midomo ya makolo imeshonwa bila ganzi.Mji umepoa, Ahsante CSC. Sisi kama waarabu, tunasema mkome na bado. Punguzeni midomo. Haya imbeni vile vinyimbo vyenu.
Hadi Raha 😎Hatujali, hatujawahi kujali, hatutajali.
Yanga always on my mind.
Yanga nakupenda halafu nakupenda tena. Wewe ndiyo my Number One 💛💚
Nyie Yanga uwiiii mnajua kupenda?
Naipenda naliaaaaaaaaa
😃😃😀😀
😃😀😀Mnatafuta faraja kwa nguvuu..haoo wamepigwa nje ndaniii
Hayooooo vyura hyooo
DahMkumbushe kuwa Aliyemkanda Jana yuko Nafasi ya Tatu na Tunayemtandika Leo ndo kashika nafasi yya kwanza