Full Time: Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | NBC Premier League | Jamuhri Dodoma | Disemba 25, 2024

Full Time: Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | NBC Premier League | Jamuhri Dodoma | Disemba 25, 2024

Kwa hiyo mnategemea shangazi zenu Singida wawasaidie siyo?

Njia pekee ya Yanga kuongoza ligi msimu huu ni itolewe mashindano ya CAF halafu Simba iwe na viporo. Ubaya ubwela ni kuwa Simba ikimaliza viporo tu inarudi kileleni.
Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe,,tunajiuliza maswali na unajijibu mwenyewe shida nini? Singida ndio mdudu Gani,,ligi bado Ina mechi 16 kwa maana singida ndio anacheza mechi peke yake? Atusaidie kivipi? Yanga hii ni ya kusaidiwa,,ebu jitafakari kidogo!
 
Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe,,tunajiuliza maswali na unajijibu mwenyewe shida nini? Singida ndio mdudu Gani,,ligi bado Ina mechi 16 kwa maana singida ndio anacheza mechi peke yake? Atusaidie kivipi? Yanga hii ni ya kusaidiwa,,ebu jitafakari kidogo!
Siyo kama nakupinga, nakubaliana na wewe kuwa Simba haina uhakika wa matokeo ila Yanga imeshajihakikishia point kwa timu kadhaa. Hata ningekuwa wewe ningejiamini pia.
 
Siyo kama nakupinga, nakubaliana na wewe kuwa Simba haina uhakika wa matokeo ila Yanga imeshajihakikishia point kwa timu kadhaa. Hata ningekuwa wewe ningejiamini pia.
Daah kiswahili ni kigumu sana na ndio maana uwa tunaferi sana mitihani,,nimekwambia ligi Ina mechi 16 bado unasemaje uwezi kushushwa kwa iyo tofauti ya point Moja? Ungekuwa unaongoza kwa tofauti ata ya point 5 ungekuwa na la kuongea lakini point Moja ni droo Moja tu na mwenzako kushinda Moja biashara inakuwa imekwisha,,kumbuka ata goal difference ilikuwa 24 kwa 13 lakini sasa hivi inasoma 21 kwa 25 we uogopi?
 
Daah kiswahili ni kigumu sana na ndio maana uwa tunaferi sana mitihani,,nimekwambia ligi Ina mechi 16 bado unasemaje uwezi kushushwa kwa iyo tofauti ya point Moja? Ungekuwa unaongoza kwa tofauti ata ya point 5 ungekuwa na la kuongea lakini point Moja ni droo Moja tu na mwenzako kushinda Moja biashara inakuwa imekwisha,,kumbuka ata goal difference ilikuwa 24 kwa 13 lakini sasa hivi inasoma 21 kwa 25 we uogopi?
Bado unafanya kosa lile lile la kuhesabu kufungwa kwa mwenzio na wewe kujihakikishia kutopoteza.

Halafu siyo mimi niliyesema Simba haiwezi kushushwa kileleni. Simba inaweza kushushwa maana wakati inaendelea kucheza mashindano ya CAF hadi fainali, itajitengenezea viporo fulani wakati Yanga itakuwa inaendelea na ligi baada ya kutolewa hatua ya makundi kwenye mashindano ya CAF. Ila ikisharudi tu, mnyama anarudi kumalizia mnofu wake.
 
Bado unafanya kosa lile lile la kuhesabu kufungwa kwa mwenzio na wewe kujihakikishia kutopoteza.

Halafu siyo mimi niliyesema Simba haiwezi kushushwa kileleni. Simba inaweza kushushwa maana wakati inaendelea kucheza mashindano ya CAF hadi fainali, itajitengenezea viporo fulani wakati Yanga itakuwa inaendelea na ligi baada ya kutolewa hatua ya makundi kwenye mashindano ya CAF. Ila ikisharudi tu, mnyama anarudi kumalizia mnofu wake.
Mnafurahisha sana,,ok ngoja tusubilie ndoto yako ya mchana pengine inaweza kufanya kazi
 
Huo ndio mlima kwa uelewa wako? Point 1 ni mlima? Kabla ya jana GD ilikuwa 24 kwa 17,,baada ya jana imekuwa 21 kwa 25,, nadhani picha unaipata,,bado mzunguko wa pili Kuna mechi ya Simba na yanga pia Simba na Azam, pia Azam na yanga,pia Simba na singida black star ukiachia mbali iyo ya keshokutwa,,unadhani point Moja apo aitopatikana? Wewe tulia majibu utayapata soon!
Kama simba itashinda michezo yake yote iliyobaki, wakati yanga nayo ikishinda michezo yake yote iliyobaki ila yanga na Simba wakatoka droo nani atakuwa Bingwa?
 
Kama simba itashinda michezo yake yote iliyobaki, wakati yanga nayo ikishinda michezo yake yote iliyobaki ila yanga na Simba wakatoka droo nani atakuwa Bingwa?
Akuna kitu kama icho,,hizo ni ndoto za mchana timu yoyote kushinda mechi zote,,kumbuka Kuna Simba na yanga, pia Kuna Azam na Simba pia Kuna singida na Simba pia Kuna yanga na singida,,kwenye hizo mechi lazima point zidondoshwe kwa timu yoyote Ile na hizo ndio top 4 ukiachilia mbali timu nyingine!
 
Akuna kitu kama icho,,hizo ni ndoto za mchana timu yoyote kushinda mechi zote,,kumbuka Kuna Simba na yanga, pia Kuna Azam na Simba pia Kuna singida na Simba pia Kuna yanga na singida,,kwenye hizo mechi lazima point zidondoshwe kwa timu yoyote Ile na hizo ndio top 4 ukiachilia mbali timu nyingine!
Sidhani kama unajua ulichoandika zaid ya mihemko tu
 
Mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe,,tunajiuliza maswali na unajijibu mwenyewe shida nini? Singida ndio mdudu Gani,,ligi bado Ina mechi 16 kwa maana singida ndio anacheza mechi peke yake? Atusaidie kivipi? Yanga hii ni ya kusaidiwa,,ebu jitafakari kidogo!
Mkuu hapo unabishana na empty set.
Hifadhi nishati mwili yako usibishane na huyo jamaa mkuu.
Anaongea nadharia anazozijua yeye ila ukimuuliza ushahidi wa anachoongea hana.
 
Back
Top Bottom