Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Katiba kadai weweBadala mfanye mambo ya msingi kama kudai katiba mpya nyie mmekalia simba na Yanga kenge kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba kadai weweBadala mfanye mambo ya msingi kama kudai katiba mpya nyie mmekalia simba na Yanga kenge kweli
Kuku punda weweLolote baya liwakute utopolo
Awe anasikiliza ile milio kwenye mafutajina lako tu lina akisi utaahira wako. Et immrlivepool akili yako inawaza ujinga tu unaousema ni ujinga pia. Ukiona ni ujinga kushabikia timu hizi wewe nenda kashabikie mandazi.
ndogo hucheza kabla ya sikukuu kubwa hucheza siku kuu maana ndizo zenye washabiki wengi wanaohitaji furahaTimu ndogo zinacheza cheza tu, .. hazina sikukuu
Acha umbea mkuu.Max na Yao kwasi mmewakosea nin jamani,Yanga tendeni haki,muishi vizuri na wachezeji,acheni unafiki usoni mnawasifia wachezaji kumbe moyoni mmebeba vinyongo kibao.
kwenye katiba tutadai yanga iwe timu ya taifaBadala mfanye mambo ya msingi kama kudai katiba mpya nyie mmekalia simba na Yanga kenge kweli