Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bomu mochwariiiiiiiiiiiiiii......Hakuna goli za dakika za nyongeza.
Kwani ndo hatuna kabisa mtu nje ya kibabageKibabage ni mpuuzi sana, ilikuwa goli la pili ile
ajabu ni kwamba yote yanahesabiwaSio la penati kama la makolo...
Nampendaga Sana Admin WA JF ni Simba damuDodoma Jiji VS Yanga SC
| NBC Premier League
| Jamuhri Dodoma
| Disemba 25, 2024
Saa kumi jioni
Mtajua wenyeweHatusubiri dakika 6 za nyongeza sisi
Mpira saaafi, magoli saaaafi, hakuna offside, hakuna lawama, unamfunga mpinza wako abakubali 101% bila lawama. Masuala ya kushinda na kukosa furaha huku Yanga hatuna. Dodoma kumekucha. 💛💚Uto wanatafuta point 3 siku ya sikukuu ilhali wanalunyasi wanakula bata tu muda huu..
Sikieni enyi vyura hata mkipata hizo point 3 mtaendelea kushindana na Lamba Lamba kugombea nafasi ya pili.
Acha wenyenchi tuendelee kula bata mida hii no stress.
Yupo Israel Mwenda, ila bado tumefungiwa usajili. Konkon na Okrah wanatudaiKwani ndo hatuna kabisa mtu nje ya kibabage
Lete na wewe timu yako mwanetu
Hadi leo bado umenuna tu wakati penati ilipigwa jana?Sawa penati fc
Kwani hawa waghana wanatudai nn hasaYupo Israel Mwenda, ila bado tumefungiwa usajili. Konkon na Okrah wanatudai