Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya ajabu kabisaNdo ligi yetu mkuu
🤣🤣🤣🤣Haya mambo ya kipuuzi ndiyo yanayotufanya tuishie robo fainali kwenye michuano mikubwa kila mwaka. Uhuni wa kipumbavu kabisa.
Naona kikundi cha malalamiko mmeingiaHaya mambo ya kipuuzi ndiyo yanayotufanya tuishie robo fainali kwenye michuano mikubwa kila mwaka. Uhuni wa kipumbavu kabisa.
Upuuzi mtupu!Sometime kuangalia mpira wetu huu,inataka moyo,ungese huu
Nakumbukaga Manchester walikuja bongo tukaambiwa wapo kwenye kijiji cha wavua samakiSometime kuangalia mpira wetu huu,inataka moyo,ungese huu
Pole mkuu nakushauri ufumbe machoSometime kuangalia mpira wetu huu,inataka moyo,ungese huu
Ha ha dada wa Utopolo poleeeUpuuzi mtupu!
Ukiachana na hilo la kusubiri filimbi, kulikuwa na offsideWamepigwa goli la kihuni eti walikuwa wanasubiri filimbi
Sema kosa ni niniBila makosa ya kibinadam ushindi ni kitendawili
Nani muhuni hapo? Mtu anacheza offside tricky ya kijinga unataka asiadhibiwe?Haya mambo ya kipuuzi ndiyo yanayotufanya tuishie robo fainali kwenye michuano mikubwa kila mwaka. Uhuni wa kipumbavu kabisa.
Offside naniUkiachana na hilo la kusubiri filimbi, kulikuwa na offside
😂😂😂Jitambulishe kwanza, wewe ni Uto?
Kafungwa fountain ila wanaoumia ni 🐸🐸🐸Simba 1-0 fountain gate SOKA LA BONGO BALAAA