Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Ushindi hautanoga bila PenaltRefa bado penalti yetu, kudadeki mwaka huu wataimba lugha zote
Nisome vizuri mkuu.Ile mechi iikuwa ni dhidi ya majiamaji?
Ukuta ungewekwa ila ishu ni cement kwa kuipataHivi eneo lile si panapaswa kuwekwa ukuta? Mpira unaanzishwaje kienyeji vile?
Aliyetoa Assist, halafu kwa eneo lile ilipaswa kuwekwe ukuta kisha ndio ipigwe faulo. Au siku hizi faulo, wachezaji wanaruhusiwa kuanzisha kihuni tu?Offside ni kwa mfungaji au aliye assist?
🫣🫣🫣🫣 noma sanaaaKafungwa fountain ila wanaoumia ni 🐸🐸🐸
Soka la bongo buana 😂😂
🤣 waache wabebwe ivo ivo ila siku tukikutana nao ndo watajua hawajuiiiiAliyetoa Assist, halafu kwa eneo lile ilipaswa kuwekwe ukuta kisha ndio ipigwe faulo. Au siku hizi faulo, wachezaji wanaruhusiwa kuanzisha kihuni tu?