Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Pita na huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pita na huku
Usiandike mafumbo, weka wazi kabisa nipigwe life ban mimi na id zangu zoteHii mechi ni draw tofauti na hapo nifukuzwe jf.
Kwani ana ID ngapi huyu 🐸?Usiandike mafumbo, weka wazi kabisa nipigwe life ban mimi na id zangu zote
Usinipangie.Usiandike mafumbo, weka wazi kabisa nipigwe life ban mimi na id zangu zote
Kabisa mkuu, tena nilimsikia pia refa wa mechi akijisifu kama weweHawa Fountain Gates tutawachapa kama tunaua mbwa!
😂😂😂Tukio moja kati ya haya yafuatayo lazima litokee.
1.Uwepo wa penati.
2.Goli la utata unaotokana na offside
3.Red card kwa Fountain Gate
4.Muda wa nyongeza kuwa 7+
Kwa hiyo unatakaje bwana utopox?Tukio moja kati ya haya yafuatayo lazima litokee.
1.Uwepo wa penati.
2.Goli la utata unaotokana na offside
3.Red card kwa Fountain Gate
4.Muda wa nyongeza kuwa 7+
Unamjua KANJUNJU JOHN ☺️😊😊☺️