Khaaaa.Kwenda unafki tu .
Cha ajabu aliyebebwa kachana mbeleko. ππYule ni mpumbavu sana ndio maana kapeleka hadi 102
ππππππππππππππππ
Naunga mkono hoja kwa hisani ya watu wa jangwaniChasambi hana kosa lolote nimejerea marudio
Hawa mpaka wakija kukutana na sisi watakula goli 7Cha ajabu aliyebebwa kachana mbeleko. ππ
Huyu ana asilimia kubwa ya ushabiki kwenye maamuzi yake.....Sasa hii ndo style gani ya kutoa kadi?!π π π
View attachment 3227098Kuonesha kabsa kua refa alikua anaumizwa na haya matokeo ilibidi tu atoekadi kwa mikono miwili kama kwaya master π π π
Naunga mkono hojaHuyu ana asilimia kubwa ya ushabiki kwenye maamuzi yake.....
Unajua kukata mainiHahahah orefo na waghola
Nakazia.Hawa mpaka wakija kukutana na sisi watakula goli 7
Saana mkuuYule dogo aliedaka badala ya kipa kupata redcard anaitwaje jamani kajitahidi kusave
Leo wamekatwa mkia kesho mguumikia lolote liwakute
Naunga mkono hoja πππ