maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
VizuriJuu ya kifua cha Dadaako
Kubwa la maadui...... mkandaji😃
Ya leo itkua 401 🤣 ila atashinda leo
Hao jamaa hata kutukana hawajui, wajuacho ni kutokwa na mapovu kama ya omo 😂Twawakaribisha ila msianze kutukana mkikosa hoja
Ngoja nitunze risitiHii mechi ni draw tofauti na hapo nifukuzwe jf.
Unateseka ukiwa wapi Mr 🐸Marefa fc tutarajie mbeleko nyingine leo
Siku zaidi ya mia 4 bila hata goli la offside NbcKubwa la maadui...... mkandaji😃
Usijali Leo wakijitaidi sana Wana draw Hawa makoloNamna gani pale Fountain Gate
Jifanye hujui kiswahili