Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mangapi leoGooli la pili Azizi ki
Hadi sasa ni 0:2Full time: KMC 1-1 YANGA
Nipo na kina kibu na mpanzu hapa wanashangaa unavyowasifia wakati wao wanajiona kabisa hamna kituInshaallah game itaisha kwa kmc kupata ushindi leo, ila tuwe wakweli kwa mara ya kwanza Baada ya miaka 3 mashabiki wa yanga 50% wanaihofia simba inaweza kubeba ubingwa, simba hii ya mpanzu kushoto kulia kibu moto utawaka msimu huu🔥
labda kila la kheri ya kupunguza goli zisifike 5 ila kipigo kiko pale paleKila la kheri kMC
UBUNTU BOTHO
Habib habib Thalantha bin thifuli ويوثنثثننثثن🐸
kama tutakazo zoa kwa nyauHapa ni point 3 za bure tunajizolea tu
Nilijua magoli ya penati hayashangiliwiKituuuuuuuuuuu💚💛🔥
Huna hoja!Nilijua magoli ya penati hayashangiliwi
ephen furaha yako ndio furaha yanguu. Nafurahi Yanga ikishinda maana najua utakuwa na furaha na hivyo kunifanya nami kuwa na furaha pia.Kituuuuuuuuuuu💚💛🔥
Yanga si huwa mnakebehi magoli ya Penati?Mzize kasababisha penalt...
Na Mimi nipo kibanda umiza hadi walitaka kuangusha kibanda.Nilijua magoli ya penati hayashangiliwi
Ndio! Leo tunawakanda na tarehe 8 Simba tunawakanda.ephen furaha yako ndio furaha yanguu. Nafurahi Yanga ikishinda maana najua utakuwa na furaha na hivyo kunifanya nami kuwa na furaha pia.
Leo hirizi zinachaji na majini ya Dubai yanafanya kazi😆😃😄😀Leo wachawi wamejipata
ya halali yanashangiliwa ila sio yale ya haramuNilijua magoli ya penati hayashangiliwi
sasa kama yanga hana timu ni nan atakuwa na timu maana ligi kuu yanga ndiye anaye juaTechnically kiuchambuzi bila upendeleo wowote yanga bado hawana timu
aliye pigwa faini kwa ulozi ni timu ganiLeo wachawi wamejipata
Hata MC Alger, Tabora United na JKT Tanzania wanajua hilo.Technically kiuchambuzi bila upendeleo wowote yanga bado hawana timu