Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.Kila mtu ashinde mechi zake 💚💛💪
simba ana chalenjiwa vizuri tu shida ipo kwa refa anaingilia katiHapana, najaribu kuangalia timu hizi ndogo zinavyo zichallenge Simba na Yanga ndio nafikia kujiuliza hvyo.
Aisee!mtoto mdogo wa giiesiem vs kaka mtu. Maigizo.
Umeaoma matokeo bila shakaMashujaa piga yanga hao
mechi ya tarehe 8 ni ya yanga tumewakumbusha mapemaKila mtu ashinde mechi zake 💚💛💪
Subirin muonge refa tena atoe kad nyekundu
Ebu tupeni stats hapa derby zilizochezwa wakati wa mwezi wa ramadhani nani ameshinda nyingi?mechi ya tarehe 8 ni ya yanga tumewakumbusha mapema
Mbona hana nyama za kupigwa busu ila kumbuka mbu akitua kwenye korodani muache amalize kazi yake,Nyuki hapigwi busu
Maneno ya mkosaji hayooo 😂View attachment 3246764
Halafu na sisi tutakuwa na mwiko nyuma? 😂
sisi tunachokumbuka ni kuwapiga makolo mechi nne mfululizo hayo ya mwezi wa ramadhani mtajua wenyewe.Ebu tupeni stats hapa derby zilizochezwa wakati wa mwezi wa ramadhani nani ameshinda nyingi?
Kapangwa na Makuruta wa kambi ya Uvinza.Sorry sikuwepo mtandaoni mda mrefu hivi YANGA makundi caf kapangwa na nani?🤭🤭
Bingwa wa kunywa supuYanga bingwa
Hata kukunya wewe tunawezaBingwa wa kunywa supu