Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Tatizo la ubongo wako usilihusishe na mzee Kaduguda asiye na uwezo wowote wa kubadili mashindano ya CAFCC....Kwaiyo wewe unasemaje kuhusu Mzee wetu Kaduguda aliyesema kuwa shirikisho ni mashindano ya akina na mashabiki wa Simba mkashangilia
Hamkujua kuwa ipo siku na nyie mtashiriki
Mlitutania na sisi tunawatania Sasa, mnatuona wabaya
Ubongo wako na 🐸🐸fans wote una hitirafu kubwa...
Kaduguda aliwaingiza cha kike mkajaa mamaeeh hebu tulieni sasa wanaume wanajifua kwa CAFCC robo fainali huku nyie mnajifua na CRDB.