Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

Hatuwezi kuwabagaza vijana wetu wapiganaji, vijana wakakamavu wa mapigo na mwendo.

Lazima tukumbuke uzalendo wao katika kulinda mipaka ya Taifa letu mpaka timu nyingine zinapata hata fursa ya kunywa Vibuduz supuz zao vidimbwini kwa amani.

Hima hima! Tanzaniaaaa

Hima hima! Tanzaniaaaa

Hima hima! Tanzaniaaaa
 
Mods nawashauri mngeset standard ya kuanzisha nyuzi za Live Match ziweje, sio kila mtu tu akimbilie kuanzisha thread ambazo hazina nyama za kutosha

Kwa mfano kwa hii thread ilitakiwa:

1. Itoe maelezo mafupi kuhusu profile ya Mashujaa Fc ni kina nani, inamilikiwa na nani, wapo mkoa gani, inashika nafasi ya ngp ktk msimamo wa ligi,, hvyo hvyo kwa Yanga

2. Itoe maelezo kwa ufupi kuhusu status ya game zao atleast tatu za mwisho zilizopita za NBC PL, na point walizokusanya ktk ligi

3. Ielezee head to Head baina ya hizi timu mbili ilikuwaje, angalau kwa kuangazia hata game 3 baina yao

4. Uimara na udhaifu wa baina ya timu hizi mbili pía kwa kuangazia wachezaji/washambuliaji wao wa kuchungwa /hatari

Kwa hayo machache tukifanya hivi itaongeza thamani na mvuto wa thread zinazoanzishwa kuhusiana na hizi live games zinazofunguliwa kila mara kiholela holela tu

Nawasilisha
Mkuu, Nadhani zinaanzishwa for fun bila malipo, hata hii ya kukimbilia kuwa wa kwanza kuanzisha nyuzi ni kautamaduni fulani for fun, mods-Jf ikianza kuweka masharti watajikuta wao ndo wana hilo jukumu kila mechi mwishowe nyuzi zisiwepo au zije kwa kuchelewa, tujazie nyama kwenye comment.
 
Mods nawashauri mngeset standard ya kuanzisha nyuzi za Live Match ziweje, sio kila mtu tu akimbilie kuanzisha thread ambazo hazina nyama za kutosha

Kwa mfano kwa hii thread ilitakiwa:

1. Itoe maelezo mafupi kuhusu profile ya Mashujaa Fc ni kina nani, inamilikiwa na nani, wapo mkoa gani, inashika nafasi ya ngp ktk msimamo wa ligi,, hvyo hvyo kwa Yanga

2. Itoe maelezo kwa ufupi kuhusu status ya game zao atleast tatu za mwisho zilizopita za NBC PL, na point walizokusanya ktk ligi

3. Ielezee head to Head baina ya hizi timu mbili ilik

Kwa hayo machache tukifanya hivi itaongeza thamani na mvuto wa thread zinazoanzishwa kuhusiana na hizi live games zinazofunguliwa kila mara kiholela holela tu

Nawasilisha
maelezo ya nini wakati inajulikana mechi ni kati ya Mashujaa vs Yanga na mwanamichezo anaefuatilia NBC PL anajua yote hayo,uzi utakuwa na maelezo mengi ambayo si muhimu sana.
 
Tutasikiliza redio, (Radio Tanzania) kwa maana marefa wa Tanzania hawafuati sheria unaweza vunja TV yako
jesse john,enock bwigane,nazareth upete na wengine wapo kwa ajiri ya kukupa kile unachostahili kupata moja kwa moja toka uwanjani. Karibu.
 
maelezo ya nini wakati inajulikana mechi ni kati ya Mashujaa vs Yanga na mwanamichezo anaefuatilia NBC PL anajua yote hayo,uzi utakuwa na maelezo mengi ambayo si muhimu sana.
Dogo una tabia ya kukurupuka sana
 
Back
Top Bottom