Bhaaasi!Hakuna match Ngum hapa tutashuhudia makosa ya kibinadamu maana kuna mchezazi wa mashujaa atacheza rafu makusudi ndani ya box na rafa atafunika maana kunakibunda washapata baadhi ya wachezaji View attachment 3245933
Wewe ni kolo! Usibishe.Litakufa jitu.
Mkuu, Nadhani zinaanzishwa for fun bila malipo, hata hii ya kukimbilia kuwa wa kwanza kuanzisha nyuzi ni kautamaduni fulani for fun, mods-Jf ikianza kuweka masharti watajikuta wao ndo wana hilo jukumu kila mechi mwishowe nyuzi zisiwepo au zije kwa kuchelewa, tujazie nyama kwenye comment.Mods nawashauri mngeset standard ya kuanzisha nyuzi za Live Match ziweje, sio kila mtu tu akimbilie kuanzisha thread ambazo hazina nyama za kutosha
Kwa mfano kwa hii thread ilitakiwa:
1. Itoe maelezo mafupi kuhusu profile ya Mashujaa Fc ni kina nani, inamilikiwa na nani, wapo mkoa gani, inashika nafasi ya ngp ktk msimamo wa ligi,, hvyo hvyo kwa Yanga
2. Itoe maelezo kwa ufupi kuhusu status ya game zao atleast tatu za mwisho zilizopita za NBC PL, na point walizokusanya ktk ligi
3. Ielezee head to Head baina ya hizi timu mbili ilikuwaje, angalau kwa kuangazia hata game 3 baina yao
4. Uimara na udhaifu wa baina ya timu hizi mbili pΓa kwa kuangazia wachezaji/washambuliaji wao wa kuchungwa /hatari
Kwa hayo machache tukifanya hivi itaongeza thamani na mvuto wa thread zinazoanzishwa kuhusiana na hizi live games zinazofunguliwa kila mara kiholela holela tu
Nawasilisha
All the best worst for YangaπAll the Best Yanga
maelezo ya nini wakati inajulikana mechi ni kati ya Mashujaa vs Yanga na mwanamichezo anaefuatilia NBC PL anajua yote hayo,uzi utakuwa na maelezo mengi ambayo si muhimu sana.Mods nawashauri mngeset standard ya kuanzisha nyuzi za Live Match ziweje, sio kila mtu tu akimbilie kuanzisha thread ambazo hazina nyama za kutosha
Kwa mfano kwa hii thread ilitakiwa:
1. Itoe maelezo mafupi kuhusu profile ya Mashujaa Fc ni kina nani, inamilikiwa na nani, wapo mkoa gani, inashika nafasi ya ngp ktk msimamo wa ligi,, hvyo hvyo kwa Yanga
2. Itoe maelezo kwa ufupi kuhusu status ya game zao atleast tatu za mwisho zilizopita za NBC PL, na point walizokusanya ktk ligi
3. Ielezee head to Head baina ya hizi timu mbili ilik
Kwa hayo machache tukifanya hivi itaongeza thamani na mvuto wa thread zinazoanzishwa kuhusiana na hizi live games zinazofunguliwa kila mara kiholela holela tu
Nawasilisha
All the best worst for Yangaπ
I am a Liverpool FC supporter through and through.Wewe ni kolo! Usibishe.
Hili ndilo ulilochelewa kuniambia.japo Siipendi tu Yanga huwa naifananisha na CCM.
jesse john,enock bwigane,nazareth upete na wengine wapo kwa ajiri ya kukupa kile unachostahili kupata moja kwa moja toka uwanjani. Karibu.Tutasikiliza redio, (Radio Tanzania) kwa maana marefa wa Tanzania hawafuati sheria unaweza vunja TV yako
Yeah huwa nawafananisha na ccm so hata nikiambiwa nichague siwezi kushabikia Yanga.Hili ndilo ulilochelewa kuniambia.
Dogo una tabia ya kukurupuka sanamaelezo ya nini wakati inajulikana mechi ni kati ya Mashujaa vs Yanga na mwanamichezo anaefuatilia NBC PL anajua yote hayo,uzi utakuwa na maelezo mengi ambayo si muhimu sana.
Kikikikijesse john,enock bwigane,nazareth upete na wengine wapo kwa ajiri ya kukupa kile unachostahili kupata moja kwa moja toka uwanjani. Karibu.