Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

Full Time: Mashujaa FC 0-5 Yanga SC| NBC Premier League | Lake Tanganyika | 23.02.2025

Bwana wee FA ya Sudan imemkuta na hatia ya kupanga matokeo refa aliye cheza mchezo wa Al hilal vs Al Merrick kwa kuwapa kadi nyekundu Al Merrick kisa bahasha ya kaki yenye mkono mrefu unao onekana unatoka Al Hilal ili kuwa saidia wao katika harakati zao za ubingwa japo bado FA ya Sudan ipo kwenye uchunguzi mkali kujua ni nani hasa ndani ya Al Hilal mwenye jeuri hiyo ya kutoa mabilioni kwa wapuliza filimbi mbalimbali na kuwabeba katika mechi zao

FA ya Sudan imesema uchunguzi huu utasomba kila kitu kama kokoro ziwani
😂😂
IMG_5356.jpeg
 
Hii foul aliyochezewa lyanga angekuwa kachezewa mchezaji wa uto ni penalty 😂
 
ni mara ya kwanza kuona mtu anapewa kadi pasipo kosa
Bila kusahau makolo pia ndio timu yenye historia ya kumfanya refa aoneshe kadi mbili(njano na nyekundu) kwa pamoja kutokana na hasira ya timu lake la makolo kushindwa kupata goli dhidi ya mpinzani wake.
 
Kwahiyo tumekubaliana kwamba sasa vilio basi. Tusisikie tena HabarI za Namungo vs Simba
Kwasasa akuna kubweka kama mnavyobweka tulishasema siku nyingi Kila timu ishinde mechi zake tupimane ubavu tuone nani ataibuka mbabe!
 
TFF Wameamua kujitoa ufahamu na kufumbia macho mgongano wa maslahi kwenye soka. Haiwezekani mfadhiliwa amkomalie mfadhili, hana ubavu wa kula jeuri yake. GSM anaipeleka ligi yetu shimoni.
 
Back
Top Bottom