zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kwenye mechi ya simba hilo ni goli halali kabisa na wachambuzi wanakuja na vielelezoOffside kweli....nyie mnaangalia mpira kinyumenyume nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye mechi ya simba hilo ni goli halali kabisa na wachambuzi wanakuja na vielelezoOffside kweli....nyie mnaangalia mpira kinyumenyume nn
Ww ushamaliza hii hapa ndio dawaUkiwa Yanga Usiangalie mechi za Simba
Ukiwa Simba Usiangalie mechi za Yanga
Marefa wanaweza Kupasua Moyo wako
mechi za yanga marefa hawana mbereko mkuu, sema mechi za simba ndio zina mauza uza kibaoUkiwa Yanga Usiangalie mechi za Simba
Ukiwa Simba Usiangalie mechi za Yanga
Marefa wanaweza Kupasua Moyo wako
kabisa maana hakuna hata mtu kupewa kadi ya uwongo mechi gani hiiHamna mechi hapa
Mikia bwana kuna refa kafungiwa huko ligi ya Sudan umepata habari ?Hamna mechi hapa
Familia ya GSM wanacheza kwa maelekezo . Kitakachopungua leo ni idadi ya magoli ili watu wasistukeni suala la muda mashujaa wanachapwa na wananchi
kabisa mkuu tukikutana na ambaye si familia kama simba anakula 5Familia ya GSM wanacheza kwa maelekezo . Kitakachopungua leo ni idadi ya magoli ili watu wasistuke
Sijapata 🤣🤣nijuzeMikia bwana kuna refa kafungiwa huko ligi ya Sudan umepata habari ?
Daaah🤣🤣kabisa maana hakuna hata mtu kupewa kadi ya uwongo mechi gani hii
ile kadi ya mauza uza imefutwa, taarifa ya refa inasemekana kaandika hata yeye hafahamu kadi imetokana na niniGiiesiem vs giiesiem = maigizo/ mipango
Baleke , chama , Inonga na mwenda sasa hivi hatunao tena . Kayoko keshayatimba hivyo usitegemee kitu kama hicho.kabisa mkuu tukikutana na ambaye si familia kama simba anakula 5
Ni mara yako ya kwanza kuona card ikifutwa?ile kadi ya mauza uza imefutwa, taarifa ya refa inasemekana kaandika hata yeye hafahamu kadi imetokana na nini
ni mara ya kwanza kuona mtu anapewa kadi pasipo kosaNi mara yako ya kwanza kuona card ikifutwa?
Bwana wee FA ya Sudan imemkuta na hatia ya kupanga matokeo refa aliye cheza mchezo wa Al hilal vs Al Merrick kwa kuwapa kadi nyekundu Al Merrick kisa bahasha ya kaki yenye mkono mrefu unao onekana unatoka Al Hilal ili kuwa saidia wao katika harakati zao za ubingwa japo bado FA ya Sudan ipo kwenye uchunguzi mkali kujua ni nani hasa ndani ya Al Hilal mwenye jeuri hiyo ya kutoa mabilioni kwa wapuliza filimbi mbalimbali na kuwabeba katika mechi zaoSijapata 🤣🤣nijuze
Vipi mkuu unajuta kutokea wapiMtakuja kujuta nawambia