"Goli la offside makolo siku 500 hawajawahi funga" ,Hili goli la offside la Aziz rasta wa Makolo siku ya 500 hajawahi funga
ππBwana wee FA ya Sudan imemkuta na hatia ya kupanga matokeo refa aliye cheza mchezo wa Al hilal vs Al Merrick kwa kuwapa kadi nyekundu Al Merrick kisa bahasha ya kaki yenye mkono mrefu unao onekana unatoka Al Hilal ili kuwa saidia wao katika harakati zao za ubingwa japo bado FA ya Sudan ipo kwenye uchunguzi mkali kujua ni nani hasa ndani ya Al Hilal mwenye jeuri hiyo ya kutoa mabilioni kwa wapuliza filimbi mbalimbali na kuwabeba katika mechi zao
FA ya Sudan imesema uchunguzi huu utasomba kila kitu kama kokoro ziwani
Nenda kaweke wewe kolo iyo penaltySisi Mashujaa tumenyimwa penati ya wazi baada ya Baka kumrukia kama Jet Lii straika wetu Dany Lyanga
Hakuna matuta mdebwedoHii foul aliyochezewa lyanga angekuwa kachezewa mchezaji wa uto ni penalty [emoji23]
Simba kaingiaje hapa?kwenye mechi ya simba hilo ni goli halali kabisa na wachambuzi wanakuja na vielelezo
Kweli angechezewa Dube wangepewa penaltyHii foul aliyochezewa lyanga angekuwa kachezewa mchezaji wa uto ni penalty π
πΈmechi za yanga marefa hawana mbereko mkuu, sema mechi za simba ndio zina mauza uza kibao
Bila kusahau makolo pia ndio timu yenye historia ya kumfanya refa aoneshe kadi mbili(njano na nyekundu) kwa pamoja kutokana na hasira ya timu lake la makolo kushindwa kupata goli dhidi ya mpinzani wake.ni mara ya kwanza kuona mtu anapewa kadi pasipo kosa
Kwahiyo tumekubaliana kwamba sasa vilio basi. Tusisikie tena HabarI za Namungo vs SimbaNenda kaweke wewe kolo iyo penalty
Kwasasa akuna kubweka kama mnavyobweka tulishasema siku nyingi Kila timu ishinde mechi zake tupimane ubavu tuone nani ataibuka mbabe!Kwahiyo tumekubaliana kwamba sasa vilio basi. Tusisikie tena HabarI za Namungo vs Simba
Kwa uto tutaπHakuna matuta mdebwedo
Hii msg wataipita km ukomaSorry sikuwepo mtandaoni mda mrefu hivi YANGA makundi caf kapangwa na nani?π€π€