OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Al Hilal ni kama Tabora, inapenya kimikakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwemo?hilali anatomb kila timu
HAwa vyura walizoea sana kutuita sisi mwakaroboAl-Hilal ameshajihakikishia nafasi yake huko robo fainali. Ila Yanga na TP Mazembe wana njia ndefu sana kufikia robo. Yanga anatakiwa ashinde michezo yote ya nyumbani pamoja na mchezo mmoja wa nje uliobaki. Ni kazi kubwa sana
View attachment 3176928
Hapo ni kuombea alger apigwe tena na hilal game ya pili na yanga kumfunga mazembe,kisha kufanya kila kitu kibaya kwa alger akija darAl-Hilal ameshajihakikishia nafasi yake huko robo fainali. Ila Yanga na TP Mazembe wana njia ndefu sana kufikia robo. Yanga anatakiwa ashinde michezo yote ya nyumbani pamoja na mchezo mmoja wa nje uliobaki. Ni kazi kubwa sana
View attachment 3176928
Mechi ya Yanga na Mc Alger ni ya mwishoHapo ni kuombea alger apigwe tena na hilal game ya pili na yanga kumfunga mazembe,kisha kufanya kila kitu kibaya kwa alger akija dar
Ndiyo vizuri,wamfanye kama belouzidadMechi ya Yanga na Mc Alger ni ya mwisho
Jambo la kwanza tumfunge Tp Mazembe na Al Hilal kwanza.Ndiyo vizuri,wamfanye kama belouzidad
yangaIkiwemo?
Imekuaje tena na kile kichaka cha ranking?Bado mnadaiwa goli moja.Jambo la kwanza tumfunge Tp Mazembe na Al Hilal kwanza.