Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Ni mtazamo tu boss. Ila kwa hapa sasa ni kila mtu ashinde mechi zake.Me naonA tukicheza na mc Alger akiwa anatafuta points hapo tunaweza kukwama
Mc Alger ndo mbabe
Hao wengine tunakamatana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtazamo tu boss. Ila kwa hapa sasa ni kila mtu ashinde mechi zake.Me naonA tukicheza na mc Alger akiwa anatafuta points hapo tunaweza kukwama
Mc Alger ndo mbabe
Hao wengine tunakamatana tu
Yanga ana tundu dogo mno la kuvuka makundi, akikaa vibaya ni kipande cha mwiko tu ndo kitapita.Saizi ameanza eti kufurahia Mc Alger kupoteza.
Hahahahaha.🤣😅😅
Nisamehe bhn
Tunakuwa tunaenda vizuri ila Sasa watani wananipopoa na Mimi naona usiwe kinyume Wacha niwajibu😅
Hana zaidi ya counterIbenge ana ni mzoefu wa haya mashindano
Vibonde?..kuna nyakati al ahly hushika nafasi ya piliNa ukumbuke kuwa Al Hilal kufuzu peke yake sio kitu pekee kitachomtosha asiweze kukaza mechi zingine.
Kumbuka timu inayomaliza on top kwenye group ndio ambayo itapata unafuu kwenye draw ya robo kwa kupangiwa na vibonde.
Ila we dogo mbishi sana🤣Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Counter ni sehemu ya mbinu za mchezo.Hana zaidi ya counter
Ameshinda gemu moja tu na Simba na kupigwa gemu 3 akicheza hiyo counter attack.Counter ni sehemu ya mbinu za mchezo.
Jambo zuri amecheza hivyo mara nyingi na maadui zake wameshindwa kuvunjà ukuta wake.
Apewe maua yake
Alifunga yanga kwa mbinu hiyo piaAmeshinda gemu moja tu na Simba na kupigwa gemu 3 akicheza hiyo counter attack.
Nafas bado ipoAl-Hilal ameshajihakikishia nafasi yake huko robo fainali. Ila Yanga na TP Mazembe wana njia ndefu sana kufikia robo. Yanga anatakiwa ashinde michezo yote ya nyumbani pamoja na mchezo mmoja wa nje uliobaki. Ni kazi kubwa sana
View attachment 3176928
Nilikuwa natamani hivyo pia.Saizi ameanza eti kufurahia Mc Alger kupoteza.
Akifungwa mechi zote zilizobakiAl-Hilal ameshajihakikishia nafasi yake huko robo fainali. Ila Yanga na TP Mazembe wana njia ndefu sana kufikia robo. Yanga anatakiwa ashinde michezo yote ya nyumbani pamoja na mchezo mmoja wa nje uliobaki. Ni kazi kubwa sana
View attachment 3176928
hapana, anahitaji point 3!𝗛𝗶𝗶 𝗔𝗹 𝗛𝗶𝗹𝗮𝗹 𝗶𝗺𝗲𝘀𝗵𝗮𝗳𝘂𝘇𝘂 90%, 𝗶𝗻𝗮𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝗽𝗼𝗶𝗻𝘁 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘁𝘂
Hata kipindi tunacheza na Belouizdad alikua anatafuta matokeoUsiombe tucheze na mc Alger akiwa anatafuta matokeo