Full Time: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions | Disemba 14,2024

Full Time: Mc Algier 0-1 Al Hilal | CAF Champions | Disemba 14,2024

Sasa mkuu mbona kila matokeo yanapobadilika unaanza kuwa na hasira na kutoa maneno ya kashfa,mbona hapo awali tulikuwa tunaenda vizuri
🤣😅😅
Nisamehe bhn
Tunakuwa tunaenda vizuri ila Sasa watani wananipopoa na Mimi naona usiwe kinyume Wacha niwajibu😅
 
Asilimia kubwa ya wanywa supu wanadai Wana point 10 na tayari wamefuzu. Watashinda mechi zote tatu zilizobaki 😂😂 Hawajui Ile ilikuwa NGUVU ya masindano🤣🤣
Vipi 5imba alofungwa mara nne mfululizo na wapo kwenye mashindano ya akina mama ndo wapo vizuri
 
Results: FULL TIME: 90 ' + 6'=96'

MCA 0 - 1 AL HILAL OMDURMAN SUDAN

Goal : Guessouma Fofana 76'
 
Hayo mashindano si ndio mlipata medali mkazifunga kiunoni kama shanga.Leo hayo mnayoyaita ya,wanaume mnaburuza mkia.Au nyinyi wanaume suruali.
Yale yalikuwa yanaitwa shirikisho ila haya ni mashindano ya akina mama kama alivosema Kaduguda Kiongozi pale Simba
 
Ndio maana mlimpelekea Mama medali za silver 🤣🤷🤷
Yanga tupo CAFCL
5imba ipo shirikisho yaani mashindano ya akina
Mbumbumbu msipende kujileta huku Kwa wanaume
Bakini huko umamani, mcheze vikoba
 
Yanga tupo CAFCL
5imba ipo shirikisho yaani mashindano ya akina
Mbumbumbu msipende kujileta huku Kwa wanaume
Bakini huko umamani, mcheze vikoba
Zile medali zilikuwa za kombe gani mlizokuwa mnazurura nazo?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Yale yalikuwa yanaitwa shirikisho ila haya ni mashindano ya akina mama kama alivosema Kaduguda Kiongozi pale Simba
Haya ya kwenu ni wanaume haswa na wanaume suruali.Yaani waliongukiwa na kitovu.
Nyoka wa kibisa.Ajabu nyoka wa kibisa ndio wenye ngebe.
 
𝗛𝗶𝗶 𝗔𝗹 𝗛𝗶𝗹𝗮𝗹 𝗶𝗺𝗲𝘀𝗵𝗮𝗳𝘂𝘇𝘂 90%, 𝗶𝗻𝗮𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝗽𝗼𝗶𝗻𝘁 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘁𝘂
 
Haya ya kwenu ni wanaume haswa na wanaume suruali.Yaani waliongukiwa na kitovu.
Nyoka wa kibisa.Ajabu nyoka wa kibisa ndio wenye ngebe.
Joka la kibisa limekufunga mara nne mfululizo, pamoja na kipigo cha goli 5
 
Back
Top Bottom