Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Ligi NBC kuendelea leo majira ya saa kumi na robo alasiri katika uwanja wa KMC Complex ambapo Yanga watakuwa wenyeji wa Ken Gold.
Yanga wanaingia katika mchezo huu wakiwa katika nafasi ya pili wakiwa na wamecheza michezo 16 wakishinda michezo 14 na kupoteza 2 huku wakifunga magoli 36 na kuruhusu magoli 6 wakiwa wamejikusanyia alama 42.
Ken Gold wanaingia wakiwa katika nafasi ya 16 wakiwa wamecheza michezo 16 wakishinda mchezo 1 sare 3 na wamepoteza michezo 13 huku wakifunga magoli 11 na kufungwa magoli 29 wakiwa na alama 6.
Vikosi vinavyoanza leo.
Muda wowote kipute kitaanza wachezaji wapo uwanjani.
Dk3 Goaaaal Prince Cube anawafungia Wananchi bolo LA kuongoza.
Dk6 Gooaaal Clement Mzize anawafungia wananchi goli LA pili.
Dk ya 27 matokeo back ni 2-0 na Yanga wanacheza mpira wa kuvutia hapa.
Dk39 Pacome anawafungia wananchi goli LA 3.
Goooaaaaaaal Mzize Anafunga goli LA nne.
HT: Young Africans 4 vs 0 Kengold.
Dk 46 Dube anafunga goli la 5 kwa Yanga
Dk 84 Abuya anaifungia Yanga goli la 6
Dk 86 Rashis anaifungia goli Ken Gold
Yanga wanaingia katika mchezo huu wakiwa katika nafasi ya pili wakiwa na wamecheza michezo 16 wakishinda michezo 14 na kupoteza 2 huku wakifunga magoli 36 na kuruhusu magoli 6 wakiwa wamejikusanyia alama 42.
Ken Gold wanaingia wakiwa katika nafasi ya 16 wakiwa wamecheza michezo 16 wakishinda mchezo 1 sare 3 na wamepoteza michezo 13 huku wakifunga magoli 11 na kufungwa magoli 29 wakiwa na alama 6.
Vikosi vinavyoanza leo.
Muda wowote kipute kitaanza wachezaji wapo uwanjani.
Dk3 Goaaaal Prince Cube anawafungia Wananchi bolo LA kuongoza.
Dk6 Gooaaal Clement Mzize anawafungia wananchi goli LA pili.
Dk ya 27 matokeo back ni 2-0 na Yanga wanacheza mpira wa kuvutia hapa.
Dk39 Pacome anawafungia wananchi goli LA 3.
Goooaaaaaaal Mzize Anafunga goli LA nne.
HT: Young Africans 4 vs 0 Kengold.
Dk 46 Dube anafunga goli la 5 kwa Yanga
Dk 84 Abuya anaifungia Yanga goli la 6
Dk 86 Rashis anaifungia goli Ken Gold