Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Ilikuwaje mabingwa mkaaga mapema?Ligi ya mabingwa tukaaga mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwaje mabingwa mkaaga mapema?Ligi ya mabingwa tukaaga mapema
Kujifanya tunajua sana na sajili za kipuuzi zilichangiaIlikuwaje mabingwa mkaaga mapema?
Kibonde kibu Bado hajafunga.Leo na kibonde dube kafunga
Hahahaaa CAFCL sio NBCPL wapumzisheni hao wazee na msajili vijana wapambanaji na mtaweza kutoboa huko CAFCLKujifanya tunajua sana na sajili za kipuuzi zilichangia
Point sio uzee hivi kapombe,Mohamed Hussein ni vijana?Hahahaaa CAFCL sio NBCPL wapumzisheni hao wazee na msajili vijana wapambanaji na mtaweza kutoboa huko CAFCL
Ni vijana hao mkuu na ndo maana bado wanakipiga hadi leo...Point sio uzee hivi kapombe,Mohamed Hussein ni vijana?
Kwani hao wa yanga unaowaita wazee kuna asiecheza?Ni vijana hao mkuu na ndo maana bado wanakipiga hadi leo
Umeona eeeeMimi ni Yanga ila kusema kweli hii ni tumepiga bomu mochwari au kaburi kabisa
Wanacheza wote na ndio hao hao walisababisha timu ikaishia makundi kwa sababu ya uchezaji wao mbovuKwani hao wa yanga unaowaita wazee kuna asiecheza?
Fadilu ajifunze mwisho wa siku bingwa anaweza kuamriwa kwa idadi ya magoli, yeye akiongoza anafanya sub ya kuingiza kina Mzamiru ili apooze gemu.Mnyama wa msimu huu huwa anardhika. Zikizidi sana tano, unless wawe wazembe mno.
Mkuu upo sawa ila ubingwa wa ligi hakilisha unashinda hata ushindi mwembamba.Fadilu ajifunze mwisho wa siku bingwa anaweza kuamriwa kwa idadi ya magoli, yeye akiongoza anafanya sub ya kuingiza kina Mzamiru ili apooze gemu.
Nani kapotea?We ulipotelea wapi mbumbumbu
Nani kapotea?
Kambi ya fisi 😂😂Wewe ni muda sana sijakuona jukwaani, kumbe ulibadili jina, mara ya mwisho ilikua kambi ya fisi
Kambi ya fisi 😂😂
Niliachana nayo kitambo mkuu.Unaicheka Id yako 😃😃😃😃
Niliachana nayo kitambo mkuu.