Full Time: Real Madrid 2-0 Atalanta | UEFA Super Cup | Poland National Stadium | 14.08.2024

Full Time: Real Madrid 2-0 Atalanta | UEFA Super Cup | Poland National Stadium | 14.08.2024

Hv huyu kocha wa Antlanta timu kubwa hazimuoni au?

Hii timu typically inabebwa na uwezo wa mbinu za huyu kocha...!!

Madrid wanakosa mtu wa kupiga penetration passes zile za kama Ton kroos...pengo lake linaonekana kbsa....valderve na Tsuamen hawana uwezo wa kupiga hizo pass...hapo ndipo umuhimu wa Modric unakuja..

Mbape siku zote makali yake hayaonekani akicheza mshambuliaji wa kati..anakosa ule uhuru wa kutokea pembeni na kuingia ndan na mpira ambapo ndo anakuwa hatari sana!!

All in all atlanta wamekuwa na gemu nzuri sana!! Sikutegemea
 
Atalanta wanajua kufanya pressing aisee, wanawalazimisha Real wafanye makosa.
na hivo ndivo walivo wafunga bayern leverkusen huyo kocha wao ni pressing master hapo kati bila creative midfielder caliber ya modric or arder guler kule mbele diaz anahitajika bila hivo Madrid kwa mfumo wao huu wa 4-3-3 kazi inaweza kuwa ngumu isitoshe wana offensive players wengi zaidi wa mixed balanced
 
hapo anc
Hv huyu kocha wa Antlanta timu kubwa hazimuoni au?

Hii timu typically inabebwa na uwezo wa mbinu za huyu kocha...!!

Madrid wanakosa mtu wa kupiga penetration passes zile za kama Ton kroos...pengo lake linaonekana kbsa....valderve na Tsuamen hawana uwezo wa kupiga hizo pass...hapo ndipo umuhimu wa Modric unakuja..

Mbape siku zote makali yake hayaonekani akicheza mshambuliaji wa kati..anakosa ule uhuru wa kutokea pembeni na kuingia ndan na mpira ambapo ndo anakuwa hatari sana!!

All in all atlanta wamekuwa na gemu nzuri sana!! Si

Hv huyu kocha wa Antlanta timu kubwa hazimuoni au?

Hii timu typically inabebwa na uwezo wa mbinu za huyu kocha...!!

Madrid wanakosa mtu wa kupiga penetration passes zile za kama Ton kroos...pengo lake linaonekana kbsa....valderve na Tsuamen hawana uwezo wa kupiga hizo pass...hapo ndipo umuhimu wa Modric unakuja..

Mbape siku zote makali yake hayaonekani akicheza mshambuliaji wa kati..anakosa ule uhuru wa kutokea pembeni na kuingia ndan na mpira ambapo ndo anakuwa hatari sana!!

All in all atlanta wamekuwa na gemu nzuri sana!! Sikutegemea
hapo anceloti ajaribu kumpeleka mbappe wide ingiza brahim toa rodrygo ingiza modric to Bellingham badili mfumo uwe 4-4-2 unarotate kwenye 4_2_3_1 then tutaona kama hata surrender
 
Back
Top Bottom