Mwakapesa II
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 554
- 915
Kupita ngumu
Simba hapitiEhee Mungu saidia Simba ipitee
Kama siyo kazi iliyofanywa Bagamoyo jana alikuwa anakosa hiiAngefunga nani saizi🤣🤣🤣,mikia buana
Simba hapiti
😂😂😂🤣🤣Daresallam is red....
🤣🤣🤣Kama siyo kazi iliyofanywa Bagamoyo jana alikuwa anakosa hii
Rohombaya fc akiwa kibaruaniSimba hapiti
Mnamkumbuka wakati wa shida tuNguvu Moja, Mungu nifute machozi baba wa mbinguni
Ndiyo soka la AfricaHawa keizer wamekuaje leo
Bora tuongeze goli 2 ziwe nne twende kwenye matuta tutajuana huko mbele kwa mbele.bado 2 twende hata penalty