Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hii sub itafanya tupwaye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morison kachukua nafasi ya nani?Simba sub zimeisha sasa ni kuoambana tu, Mubgu asaidie asiumie mwingine.
Mzamiru.Morison kachukua nafasi ya nani?
😂😂😂 mkuu hizi ID wee acha tu. Awe chazipa, mwee!Halafu unapweka nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sub zinaruhusiwa tanoSimba sub zimeisha sasa ni kupambana tu, Mungu asaidie asiumie mwingine.
Really?Sub zinaruhusiwa tano
Mkuu, unajua kweli idadi ya sub kwenye michuano ya CAF kipindi hiki cha CoVid19? Usichanganye kanuni za mashindano mbalimbali ukadhani zinalingana. Si umeona hata kwenye bench wapo wachezaji tisa?Simba sub zimeisha sasa ni kupambana tu, Mungu asaidie asiumie mwingine.
Owkey, nimekumbuka akili ilishahama mkuu.Mkuu, unajua kweli idadi ya sub kwenye michuano ya CAF kipindi hiki cha CoVid19? Usichanganye kanuni za mashindano mbalimbali ukadhani zinalingana
KweliUjinga tupu... Timu inakosa nafasi za wazi kabisaaaa. Ingawa mm ni YANGA ila inaumiza mchezaji kukosa nafasi ambayo hata angepasia mwenzake angefunga. Sijui UCHOYO wa nini pale
Tatizo wanataka ustaa hawa wajinga.Kweli
Morison kazingua