Full time: Robo fainali Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 3-0 Kaizer Chiefs | Benjamin Mkapa National Stadium - Mei 22, 2021

Full time: Robo fainali Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 3-0 Kaizer Chiefs | Benjamin Mkapa National Stadium - Mei 22, 2021

Wasengesi wale hawana mpira wowote yani ni mataputapu halafu watu wananunua jezi zao..tena mtanzania unanunua jezi ya kaizer, hata mizimu ya mababu itakulaani, Na yanga wamekaa majukwaani wanashangilia ***** wanaume ndio sisi wanaume ndio simba
Mpira wa Africa unafafana ni mpira wa mbinu tu hata hakuna kingine.
 
Hii game ya leo simba ilikuwa yenu kabisa!

Magoli 3 si mchezo,

Kosa mlilofanya ni kuruhusu magoli mengi kule kwao. Ugenini inatakiwa usiruhusu magoli zaidi ya 2
 
Simba walifanya makosa makubwa 2,,kwanza kuruhusu kufungwa goli nyingi South Africa afu nakutoka bila hata goli 1 la ugenini

Kosa hilo lilisababishwa na kujiamini kulikopitiloza na wachezaji na kocha wao kushindwa kufanya pressing ya nguvu kama walivyofanya leo.

Kosa la pili wamefanya kipindi cha kwanza kwa kupoteza nafasi nyingi Sana walizotengeneza na hivyo kuwa na mzigo mkubwa Sana wa kupanda.

Anyway wametoka kwa heshima,ni kukipanga kwa msimu ujao hasa upande wa beki na washambuliaji wenye akili za kufunga.

Nitoe pongezi in advance kwa Al Ahly ambao bila shaka watakuwa mabingwa msimu huu maana kwenye mashindano haya timu pekee zilizopewa nafasi ya kufika mbali ilikuwa Mamelodi na Simba na tayari zimeaga mashindano.
Al ahly ni bingwa, hilo halina ubishi mkuu.
 
Poleni sana wana simba,game ilikua wazi kwenu,mugalu ni galasa linaloaminika na kocha..
FB_IMG_1621662786146.jpg
 
Wasengesi wale hawana mpira wowote yani ni mataputapu halafu watu wananunua jezi zao..tena mtanzania unanunua jezi ya kaizer, hata mizimu ya mababu itakulaani, Na yanga wamekaa majukwaani wanashangilia ***** wanaume ndio sisi wanaume ndio simba
Kama hawana mpira mmesonga mbele?
 
Back
Top Bottom