kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
TUMEWAONA.........Wanaume WAMEPAMBANA...Tumewaona.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wafurahie hiyo ndio furaha yao mkuu miaka mi3 hawajacheza hayo mashindano unategemea furaha watapata wapi na huku timu yao inacheza pira Hogo?Ni aibu kwa mtanzania timu imebeba bendera ya tanzania unavaa jezi ya afrika kusini, nyie watoto wa mama mngekua mmeenda jeshini mngejua maana ya bendera ya tanzania. Simba mkubali na mkatae ni wanaume.
Umeumia kisa kuchaniwa mkeka na Simba Sc, au umeumia kwakuwa Simba haisongi mbele?? Mzee kide.Katika maisha hangu ya soka kuumia kama hivi imetokea mara chache mnoo haswa ni arsenal kufungwa fainali 2006 ya uefa na barca, ufaransa kufumgwa na Italy world cup 2006..
Kidoogo hapa katikati atletico kupoteza zile fainali za uefa mara 2 mbele ya real madrid.
Na leo hii, aisee leo imeniuma haswaa.. [emoji17]
Tunaendelea na VPL sasaNdege mbona tunapanda sana tu, hata michezo ya ligi kuu
UmepatiaSio kushinda,sema kutolewa.
Simba hii game atashinda ila atatolewa kwa aggregate.
Hasira zangu nitamalizia kwako mkuuPole sana mkuu, maisha ndivyo yalivyo...
You catch my attentionKmmk inauma ila tumepambana sanaa hivi mazee mugalu ana video za porno za da Rosa maana hastaili Ata kuwa kikosi B shenziiii moyo unauma jaman
kama ingekuwa mwadui nafikiri ingeshatoka siku nyingi kama ile yetuSimba wametolewa na Mwadui ya South Africa
Kwa sababu alikuwa hajachoka na bado alikuwa anakipiga kwenye viwango halisi vya Simba na sio viwango vya Manara!Sijui kwanini kacheza dakika zote 90 (Mugalu)
Ndivyo walifundishwa na kocha ili Wazee wapate muda wa kupumzika angalau kwa sekunde kila inapopigwa majalo!! Mipira mifupi inahitaji kasi na kukimbia uwanjani... sasa yule Classmate wa Gavana Mike Sonko angeweza vipi hayo mambo?Sijui kwanini simba walicheza mipira mirefu, sijui kwakweli
Basi tufanye 6-0, Aggregate 6-4! Unaonaje hapo?!Wamekosa nafasi nyingi za wazi wangeweza kufunga ata 6 bila
Hivi hakuna Best Loser kwenye haya mambo?!All in all wamejitahidi. Kipindi kingine tena Inshaallah
boko ameupiga leo jmn. he was on peak form.Siwez kabisa kumlaumu boko, tusimlaumu kabisa tena tumuache kabisa, lile likongo ndio linatia kinyaa
Lehman anapewa red card baada ya kumuangusha Etoo then wajinga wanapewa na penati, it was bad and a curse to Arsenal FC, hawajaenda fainali nyingine ya UEFA tena!.Katika maisha hangu ya soka kuumia kama hivi imetokea mara chache mnoo haswa ni arsenal kufungwa fainali 2006 ya uefa na barca, ufaransa kufumgwa na Italy world cup 2006..
Kidoogo hapa katikati atletico kupoteza zile fainali za uefa mara 2 mbele ya real madrid.
Na leo hii, aisee leo imeniuma haswaa.. [emoji17]
Hizo ndo zimetuharibia, yani kama tungepata hata goli moja tu kwao, leo hii tungekuwa tunazunguzmza mengine humu.Duh sijui tulifungwaje 4
[emoji23][emoji23][emoji23] dalili za kuchanganyikiwa hizi,kila mwaka maneno ni yaleyale tumetoka kiumeDaah leo simba imeupiga kisnge yani kuna time nilikua namuona morisson kama yesu
Acha zako hujui mwakani unaenda wewe tumekubeba tutawaonaPiga mbw.a haoooo,nje,sasa mrudi huku mtueleze kwann mliwaomba tff muda usogezwe mbele