Pole sana mkuu, umeandika kwa uchungu sana, na inaelekea hukujiandaa kabisa kupokea matokeo ya namna hii, nahisi matokeo yaliyokuwa kichwani mwako ni kwamba Simba anaenda kupoteza mechi hiiKwanini wanakua kama wana support mashabulizi yaende langoni kwao?
simba hii uwezo wa kutawala mpira kiasi hiki hawana. au ni waamuzi maana pia hata faulo nyingi zinaelekezwa kwa ruvu..
Kuna watu mna maneno ya kuudhi SanaDakika 3 zimeongezwa
Ruvu bado wanamuda wa kutosha kurudisha mabao, hofu yangu mimi tukienda penati tu
Naunga mkono hoja yakoNamshauri bro. Mkwasa ajiuzulu hii kazi ASAP. Huu ni uharibifu mkubwa wa CV yake.
Kwani hakuna kazi zingine bro. Fanya hata biashara.
keshoEeeh kwamba unataka sema ni uwezo
Simba huo uwezo kaupata lini
Nikki mbishi mwenyewe ni Simba sasa unafikiri unaweza kuepuka kwa namna gani?Acha kelele mdogo wangu hujaskia nyimbo mpya ya Nikki mbishi?
Sio kila siku tunaongelea mampira bhna.
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani kipa wa nini mchezo kama huu?
Aanhaa kumbe ni sheria basi kama hivyo angeingia hata na headphone ili asiwe mpweke pale golini
maafande wenyewe ndio kama uyo muongoza njia hapa 👇👇👇👇Mechi ya hovyo
Haya maafande au wezi?
😂😂😂👇👇👇Ajabu Ruvu Shooting wanalia kwa kipigo ila utopolo ndio wamezimia kabisa..
Ile Asec ki ubora ni afadhali ya mbeya city...Kinachomtokea Ruvu kinaweza kuelezewa vizuri sana na ASEC sema tatizo lugha tu hawajui kiswahili
Aliambiwa na docta aacane na mpira alee wajukuu hasikiiNamshauri bro. Mkwasa ajiuzulu hii kazi ASAP. Huu ni uharibifu mkubwa wa CV yake.
Kwani hakuna kazi zingine bro. Fanya hata biashara.
NigerHizi ni salamu za kibabe kwa wanaijeria
Unasema???Ile Asec ki ubora ni afadhali ya mbeya city...
Nasema uongo ndg zangu?
Na tar 25 July 2021 kule Kigoma Utopolo mlifanyajae vile?Haya Maneno Ndo Yaliwafanya Tar 3 July 2021 Mjiharishie [emoji23][emoji23]
IlikamiwaSimba ya sasa uwezo wa kumfunga mtu hata goli 3 hawana!
Watanzania ni wepesi kusahau..nimajuzi hapa simba imeshindwa kufurukuta baina ya timu iliyo pungufu ...ikawatumia washambuliaji wake woooote lakini wapi hawakupata hata goli moja!...
Hebu tutafakari.