Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiwe na wasiwasi leo hatuwapigi.Haya vyura wote msione aibu kuja kupata burudani
Tayari mkuuWe unasema kweli?
aiseee ngoja nijivute kwenye screen
Acha wivuModerator kwanini msiutupie huu uzi kwenye uzi wa simba sport club kama unavokuwaga kwa match za ulaya discussion zote zinafnyikia kwenye uzi husika wa club?
Sasa ulitarajia nini, ASEC afe Ruvu wapone?? Sasahivi ni dozi tu.Hawa ruvu shooting ndio hawana akili hivi
Yuko sahihi hata Azam TV wameandika Ruvu kulia na simba kushoto...Hivi hii mechi nan yuko nyumbani, ruvu or simba!!!!
Kama ni simba mwanzisha uzi mbona kutuchanganyia habari
Hiki kitu huwa nawaza pia, **** ugumu gani wa mijadala ya mechi mbalimbali kufanyikia huko?Moderator kwanini msiutupie huu uzi kwenye uzi wa simba sport club kama unavokuwaga kwa match za ulaya discussion zote zinafnyikia kwenye uzi husika wa club?
Tuntula hahhahahahahahahahahhahaTena bao la kideo kudadeki
Acha mawazo finyuIngekuwa ni yanga, Bocco alikuwa offside
Leo unawakataa maswahiba zako eehHawa ruvu shooting ndio hawana akili hivi
Imekuuma sana[emoji28].Ingekuwa ni yanga, Bocco alikuwa offside
KwendraaUshauri mzuri sana