Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

Dah watu wanaanzisha uzi siku mbili kabla ya gemu halafu wanasema Live updates,nadhan lengo ni kutaka kuonekana ameanzisha uzi uliochangiwa zaidi.Nothing more nothing less.Period
 
Simba sports club, Unyama unyamani; kila la heri, najua Yanga timu yao ni nzuri kuliko yetu lakini jitihada, nidhamu na kujiamini kutatupa ushindi japo wa goal moja.
 
Ni mwaka wa mabadiliko...Yanga mbele kwa mbele!!
yanga si ile ile X2
 
Kama Kawaida Yetu,kiiza Ndani Anachukua Mpira Wake Mwingine Kesho Taifa
 
Yanga itashinda goli 1 litakalopatikana kipindi cha kwanza kupitia kwa mshambuliaji Hamisi Tambwe na mpaka dk 90 Yanga 1 Simba 0.

Lete utabiri wako hapa.
 
mimi ni mshabiki wa yanga ila kama wanaunga mkono ccm basi wafungwe tu! kwakuwa hamna namna!
 
Kayaman hata mie yanga dam lakin kwa sababu wanaipenda CCM acha wapigwe na simba tu hata tano
 
Kesho Simba tunashinda kati ya goli mbili au moja, sababu kubwa ni kwamba yanga watakuwa wamepania sana kuvunja record ya kufungwa fungwa hovyo na Simba wakati Simba watakuwa wame lerax kwa sababu ya ushindi dhidi ya kagera jumapili, na pia kutokuwa na cha kupoteza sana sana ni kuendeleza record ya kupiga kandambili.
 
Tanzania kuna ligi ama vyama vya mpira!? Si bora nikaendelea kuangalia marudio ya ligi ya Dr. Mwaka ama toroka uje na Ustadhi.
 
Back
Top Bottom