Hahahaaaa mkuu mahaba yako kwa UKAWA yamepitiliza.
Hii mechi itakuwa na vituko vya kisiasa sana....tusubiri na tuone.
Kiingilio tsh ngapi?
Kiingilio cha chiniKiongozi kiingilio Tsh ngapi?
kwa hiyo mkuu kimekuuma sanaaa mimi kuanzisha uzi 2 days b4Dah watu wanaanzisha uzi siku mbili kabla ya gemu halafu wanasema Live updates,nadhan lengo ni kutaka kuonekana ameanzisha uzi uliochangiwa zaidi.Nothing more nothing less.Period
shem kumbe na huku upo? tuko pamoja hata mimi Yanga damu
Simba sports club, Unyama unyamani; kila la heri, najua Yanga timu yao ni nzuri kuliko yetu lakini jitihada, nidhamu na kujiamini kutatupa ushindi japo wa goal moja.
Yanga 3-2 Mikia.
Kiingilio cha chini
kitakua ni shilingi elfu saba
(7,000).
Katika mchezo huo kiingilio cha
juu kitakua ni shilingi Elfu
Thelathini (30,000) kwa viti vya
VIP A, Elfu Ishirini (20,000) kwa
viti vya VIP B & C, huku kiingilio
cha shilingi Elfu Saba (7,000)
kikiwa ni kwa viti vyenye rangi ya
Blu, Kijani na Orange.
Tiketi za mchezo ho zitaanza
kuuzwa siku ya Ijumaa saa 2
kamili asubuhi katika vituo
vifuatavyo: Karume – Ofisi za TFF,
Buguruni – Oilcom, Dar Live –
Mbagala, Uwanja wa Taifa, Luther
House – Posta, Ferry – Kivukoni,
Mnazi Mmoja, Ubungo – Oilcom
na Makumbusho – Standi ya
mabasi ya daladala