Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Anazingua sn atoke tuMUKWALA ANAFANYA NINI UWANJANI APUMZISHWEEE
SahihiKwa Mukwala hapa, asitokee tu wa kuniaminisha kuwa anahitaji muda.
Mchezaji avarage sana, sana.
Yaan anazingua Sana ANACHEZA KAMA MCHEZAJI WA UMITASHUMTAAnazingua sn atoke tu
Wanacheza Kama wachezaji wa UMISETA ama UMITASHUMTA.Sielewi hadi sasa Chasambi na Mukwala wanafanya nini humo ndani.
Soon utakunja NdutaYeees
Bado hujasemaWanacheza Kama wachezaji wa UMISETA ama UMITASHUMTA.
Bravo wanacheza boliHapana mganga mwenyewe sio mimi
Kuna wanawake na mindevu na hatuwaiti wanaume.Hii timu tunayoambiwa ni ya vijana mbona naona kuna kizee kina hadi kipara huku?