rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hiyo ya kina Backa wanaopigwa chenga Hadi wanaangukaKama beki la Utopolo 😂 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya kina Backa wanaopigwa chenga Hadi wanaangukaKama beki la Utopolo 😂 😂
💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🔨This is Simbaa ..wakali wa hizi kazi...
Hao hao wanufaika wa TASAFHiyo ya kina Backa wanaopigwa chenga Hadi wanaanguka
Hata tukifungwa haichukui nafasi ya Daktari hahahahhaahhaah pole weee...
Naona huwapi mashabiki wa Utopolo nafasi hata ya kunywa maji. Unapiga kotekoteHata tukifungwa haichukui nafasi ya Daktari hahahahhaahhaah pole weee...
An force kudrible wakati angecheza one to one ingesaidia sana timu... kuna sehemu za kudrible lkni unamuona mwenzako yuko kwenye nafasi nzuri si umpe mpira utafute nafasi nyingne ya kupta mpiraaaaMutale kila akidrible anakula ngwala,sasa sijui tumlaumu kwa lipi?
Ila juzi ilikuwaje alipeleka moto kwa alhilal mkafungwa sasa nani kafaidika hapo kati yako uto na mnyama?Point 3 kwa mbinde hahaha mmepelekewa moto haswa ulimi nje nipo na mashabiki wa Simba muda wote wanaomba mpira uishe roho juu juu hahaha
Mtakufa kwa pressureIla juzi ilikuwaje alipeleka moto kwa alhilal mkafungwa sasa nani kafaidika hapo kati yako uto na mnyama?
Mpira sio kumiliki tu mpira ufunge na ulinde ushindi kwa namna yeyote ile
Hili Neno mkuuAn force kudrible wakati angecheza one to one ingesaidia sana timu... kuna sehemu za kudrible lkni unamuona mwenzako yuko kwenye nafasi nzuri si umpe mpira utafute nafasi nyingne ya kupta mpiraaaa
Hizi sindano ukichanganya na shisha ndiyo zimewamaliza kabisa wachezaji halafu wapumbavu wanaisingizia Simba .
Kiazi kitamu