paparazz
Senior Member
- Nov 22, 2024
- 102
- 210
Bila jf masaa hayasogeiPole mkuu, yaan mpaka Sasa ungekua mpenzi mtazamaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila jf masaa hayasogeiPole mkuu, yaan mpaka Sasa ungekua mpenzi mtazamaji.
TrueeeeBila jf masaa hayasogei
Mukwala na Mutale wamekosa nafasi za wazi achilia mbali uchoyo wa KibuNafasi zipi wakati mipira yao yote ilikua inakufakufa tu haiendi popote
Very soon mtakuja kulia humuTeam Amphibia wale viherehere mbona hawasikiki kabisa? Kulikoni?
Kwenye hilo group sidhani kama mtashinda tenaHata tukifungwa haichukui nafasi ya Daktari hahahahhaahhaah pole weee...
Nahisi tatizo ni kochi na sio wachezaji. Failure sina imani naye hata kidogo.Tumepata point tatu, ila hii ni moja kati ya mechi za kimataifa tuliowahi kucheza kipumbavu zaidi tukiwa home ground.
Nyie mliedondisha nyumbani hili linawahusu. Mmebakisha 6 Tu za uhakika😂😂Kwenye hilo group sidhani kama mtashinda tena
Hizo game zilizobaki tunashinda zoteNyie mliedondisha nyumbani hili linawahusu. Mmebakisha 6 Tu za uhakika😂😂
Mutale kila akidrible anakula ngwala,sasa sijui tumlaumu kwa lipi?Mukwala leo kazingua sn, huyo mutale ss mh. Mechi angeanza ateba