Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni mashabiki
View attachment 3162646
View attachment 3162655
Na huyu ni Afisa Habari wao
View attachment 3162653
Na huyu ni former kocha wao
View attachment 3162656
Na hawa ndio wachezaji wao
View attachment 3162654
Na huyu ndio striker wao kinda
View attachment 3162658
Then watumbuizaji na wakata viuno wa hii bendi wakifungwa mechi eti wanaona hawakustahili kupata matokeo ya aina hiyo.
Nipo mkuuUko tununu??
Huna baya mtani wa jadi. Unatuletea updates za mchezo. Asante sana.Dakika ya 74
Ahoua na Mukwala nje
Ateba na Balua ndani
Simba 1
Bravos 0
Kinachotafutwa ni point siyo kinachochezwa,Anayeelewa simba wanacheza nn aniambie
Nangoja ban imalizike tar 29Nipo mkuu
Hata nyie jana mlicheza mpira tukawaona ila mwisho ikawa ni vilio na kumkumbuka GamondiBravo wanacheza mpira unawaona kabisa sio Simba
Bravo wanacheza mpira unawaona kabisa sio Simba
Muntale ana harakati nyingi sana. ni kibu denisi aliyechangamka.Sasa huyu Mutale wa nini, si bora Balua
Bravoo wanacheza kabumbuEm' fanya kama unamhadithia mtu ambaye hayupo hapo uwanjani.
Kwani hao Simba imekuwaje Wenyewe wanapoucheza unakuwa huwaoni... hapo uwanjani kuna Mazingaombwe au kuna nini .?
Subiri mfungwe uamie NamungoKila la heri mnyama mimi ni mwanachama mpya nimehama yanga
Bado ngapiDakika za lawama hizi na goli letu moja