zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Goli la Simba linashambuliwa vibaya sanaAisee mechi kipindi cha pili nimeshindwa kuangalia kutokana na dharura.
Ila naskia Camara ameibuka shujaa huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli la Simba linashambuliwa vibaya sanaAisee mechi kipindi cha pili nimeshindwa kuangalia kutokana na dharura.
Ila naskia Camara ameibuka shujaa huko
Hahahah Vipi lakini Makasiriko Yanakuwasha wapi hapo 🤣🤣🤣🙌🙌Yaani anapanga timu anavyojisikia, nimekaa paleee, atakuwa kocha wa msimu mmoja
7 jumlisha 5 za uzembe 13Bado ngapi
Tulia mfungweIhefuuu
Azamuuu
Taboraaa😂😂😂
Umesahau Al HilalIhefuuu
Azamuuu
Taboraaa😂😂😂
Simba wakizubaa tu kitu wavuniApproach ya mwalimu katika hii mechi haikuwa sahihi kabisa. I doubt kama akiendelea hivi.
anzisha team yako nawe uwe unapanga unavyojisikia.Yaani anapanga timu anavyojisikia, nimekaa paleee, atakuwa kocha wa msimu mmoja
6Bado ngapi
kama jana la Al HilalGoli la Simba linashambuliwa vibaya sana
Subiri mfungwekama jana la Al Hilal