Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Huko kushambuliwa ndo kunawakomaza...!

Utajuaje kuwa una ukuta mzuri kama hamshambuliwi..!

Ni kama vile Bwana Baka alivyokuwa anasifiwa kumbe alikuwa hajakutana na challenges
 
Tumeshinda kwa mbide sana, kikubwa alama 3 kibindoni
IMG_4417.jpeg
 
Kama kuna watu ambao huwa hawana kabisa utulivu mbele ya goli na hata ukiwaona mpira jihakikishie kabisa kuwa SIO GOAL, basi ni Mkukwala na Mutale.
 
Back
Top Bottom