Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Dakika 2 zimeongezwa kelekea Halftime
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TumchunguzeDaaaaaaah vipi pale Mukwala
SawaUkweli usemwe,Simba hakuna timu
Hizo pua zako si mchezoNasikia harufu ya bao pale linarudi HT 1-1
Inachezacheza tu ili mradi kuchezaIngawa simba huwa ina shindaga lakini haina footbal yenye Taste...
Huonagi build up ...
Fowadi yake inakimbia tu na kupiga kupelekea ktk box...
Nilitarajia kwa team ya BRAVO tunge enjoy ufundi ufundi..
Ina magoli mengi ya penalti...
Kama kuna ndoto za kucheza walau SEMIS ...cjui..
Kuna kikundi cha wacheza ngoma?Ukweli usemwe,Simba hakuna timu
Huo ukweli au maoni Yako?Ukweli usemwe,Simba hakuna timu
MmekoswakoswaHizo pua zako si mchezo
Hakuna timu timu inachezacheza cheketuItoshe kusema kuna tatizo kubwa benchi ka ufundi la Simba.
Ndio mkuu NifahKwahiyo ndugu zetu kama sio ile penalty ingekuwa bilabila kwa hawa vibonde?
Isingekuwa Ile penalty kibu alikuwa anaweka ndani ule mpila ulio chezwa Kwa mkonoKwahiyo ndugu zetu kama sio ile penalty ingekuwa bilabila kwa hawa vibonde?