Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Mkuu, Jana uliangalia mpira? ule wa kina tundumwiko na mazembe?Hizi timu ndio maana zipo shirikisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Jana uliangalia mpira? ule wa kina tundumwiko na mazembe?Hizi timu ndio maana zipo shirikisho
Ndo uhalisia wa team lenu bovu.Unatuhimiza vipi kama mashabiki tutimize wajibu wetu wakuja uwanjani huku wachezaji wanachokifanya ndio hiki ambacho tunakiona??
Walikua wanaboaaaa...yani mpira haueleweki...madhembe kafunga kimoja yuko hoii huyo utopolo sasa nani afunge...mpk dkk za jioniiMkuu, Jana uliangalia mpira? ule wa kina tundumwiko na mazembe?
Unapiga ramli ndugu tambitambiNa ndio kinaweza kuja kutokea second half
Simba watashambulia kizembe jamaa watakuja kuvizia shambulizi moja tu la hatari kamba
Mchezo utaishia hapo hapo
Bovu kama la jana....Ndo uhalisia wa team lenu bovu.
Tatizo mashabiki wa Simba huwa wanafunga magoli wakiwa nje ya uwanja. Na ndiyo maana hata Simba wafunge 4 bado watalaumiwa maana huku nje mashabiki wanakuwa wamefunga bao 7Wanarukaruka tu yani kuna muda unawaona kabisa wamejisahau kama wapo uwanjani
Yani tena wa nje ndo wanatoka jasho haswaa hHahaaTatizo mashabiki wa Simba huwa wanafunga magoli wakiwa nje ya uwanja. Na ndiyo maana hata Simba wafunge 4 bado watalaumiwa maana huku nje mashabiki wanakuwa wamefunga bao 7
😃😄😀
La jana lina nafuu.Bovu kama la jana....
Wa lunyasi tunashinda mechi hii misa ya kwanza tu. Utopilo mkae kwa kutulia, nyie jana mlitagishwa!Leo ndio leo kwenye kipute hiki cha Kombe la Shirikisho Africa kati ya wenyeji Simba ya Tanzania na wageni Sfaxien ya Tunisia.
Hii ni Match Day 3 kwa timu hizi na mechi zilizopita wote walichezea kichapo ugenini (2-1 na 3-2). Leo kila mmoja anatafuta ushindi kufufua matumaini ya hatua ya makundi.
Mechi hii itapigwa saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Nini kitatokea katika Dimba la Benjamin Mkapa leo? Kuwa nami mwanzo hadi mwisho wa mchezo huu kupitia JamiiForums.
Azam na DStv pia watarusha mechi hii.
View attachment 3177038
---------------------------------------------
Updates : 1500 Hours Vikosi vya leo
View attachment 3177287View attachment 3177288
________________________________________________
1' Mpira umeanza kwa Simba kuanzisha mpira hapa... wanashambulia lango la Sfaxien lakini Zimbwe anapiga pasi kuuubwa inaenda nje
2' Goooaaaal Sfaxien wanapata goal hapa kupitia Hazem Hassen
06' Simba wanashambulia hapa Kibu Denis anaangushwa... Freekick inapigwa na Jean Ahoua.. Kibu anafungaaaaa goal 1-1
09' Simba wametulia wanafanya shambulizi la Kushtukiza lakini Sfaxien wanaokoa shambulizi hilo
14' Simba wanamiliki mpira kwa Kiasi kikubwa kwa chenga za hapa na pale wanajaribu kuingia lakini mpira unatolewa nje
19' Musa Conte anamdondosha Awesu Awesu na Simba anapata freekick, Jean Ahoua anapiga ndefu ila kipa wa Sfaxien, Dahmen anaidaka
24' Kapombe anapress kuelekea Sfaxien anampasia Ateba lakini control yake inakuwa sio nzuri anadhibitiwa na mabeki wa Sfaxien matokeo bado ni 1-1
29' Kapombe anachezewa faulo hapa inakuwa ni freekick nje kidogo ya 18.. Kibu anapiga inagonga ukuta, Zimbwe anaiwahi lakini anapiga inatoka nje
33' Ateba na Kapombe wanaonana vyema kushambulia Sfaxien, wanakwenda pale inamiminwa Cross lakini Jean Charles Ahoua anakosa umakini anapaisha juu
38' Sfaxien wanatibua jaribio la Simba mpira unakwenda nje, Simba wanatawala Dimba ila Sfaxien wanakuwa makini
43' Sfaxien wanaachia kombora kali hapa kuelekea langoni kwa Simba ila Camara analipangua na Zimbwe anaokoa
45' Zimeongezwa dakika 5 kuelekea Mapumziko, timu zinashambuliana kwa zamu (1-1)
45+5' Afisa mmoja wa Sfaxien anaoneshwa kadi ya njano..
Halftime... Ni mapumziko SSC 1 - CSS 1
Simba sio mbovu ila inaleta utoto kwenye mechi ambazo wapinzani wanaonekana kuwa ni dhaifu.Ndo uhalisia wa team lenu bovu.
Tundumwiko alikuwa anaruka ruka tu kama mtu anayetembea kwenye lami wakati wa jua kali.Walikua wanaboaaaa...yani mpira haueleweki...madhembe kafunga kimoja yuko hoii huyo utopolo sasa nani afunge...mpk dkk za jionii
Balaa.Yani tena wa nje ndo wanatoka jasho haswaa hHahaa
Mwenzako anazungumza uhalisia, we unaleta ngonjera.Tatizo mashabiki wa Simba huwa wanafunga magoli wakiwa nje ya uwanja. Na ndiyo maana hata Simba wafunge 4 bado watalaumiwa maana huku nje mashabiki wanakuwa wamefunga bao 7
Uhalisia ni nini? Tatizo wao hawakubali timu yao ni nzuri.Mwenzako anazungumza uhalisia, we unaleta ngonjera.
Kwasababu tunaijua uwezo wao ni beyond hicho wanachotuoneshaTatizo mashabiki wa Simba huwa wanafunga magoli wakiwa nje ya uwanja. Na ndiyo maana hata Simba wafunge 4 bado watalaumiwa maana huku nje mashabiki wanakuwa wamefunga bao 7
😃😄😀
Simba atashinda tu ni suala la muda tuMqtarajio ya mashabiki ni makubwa kuliko uwezo wa timu kudeliver.