Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Na ndio kinaweza kuja kutokea second half

Simba watashambulia kizembe jamaa watakuja kuvizia shambulizi moja tu la hatari kamba
Mchezo utaishia hapo hapo
Unapiga ramli ndugu tambitambi
 
Tatizo mashabiki wa Simba huwa wanafunga magoli wakiwa nje ya uwanja. Na ndiyo maana hata Simba wafunge 4 bado watalaumiwa maana huku nje mashabiki wanakuwa wamefunga bao 7

πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜€
Yani tena wa nje ndo wanatoka jasho haswaa hHahaa
 
Wa lunyasi tunashinda mechi hii misa ya kwanza tu. Utopilo mkae kwa kutulia, nyie jana mlitagishwa!
 
Ndo uhalisia wa team lenu bovu.
Simba sio mbovu ila inaleta utoto kwenye mechi ambazo wapinzani wanaonekana kuwa ni dhaifu.

Angalia game zote ambazo Simba amekutana na timu ngumu jinsi alivyocheza.

Leo hii wachezaji wengi wanacheza kwa kujiamini utadhani wanaongoza bao 3.
 
Ila hii timu ina hitaji kuboreshwa zaidi tunacheza kiunderdog kinoma ,tuna kocha mzuri ila wachezaji wengi average.
 
Walikua wanaboaaaa...yani mpira haueleweki...madhembe kafunga kimoja yuko hoii huyo utopolo sasa nani afunge...mpk dkk za jionii
Tundumwiko alikuwa anaruka ruka tu kama mtu anayetembea kwenye lami wakati wa jua kali.
 
Tatizo mashabiki wa Simba huwa wanafunga magoli wakiwa nje ya uwanja. Na ndiyo maana hata Simba wafunge 4 bado watalaumiwa maana huku nje mashabiki wanakuwa wamefunga bao 7
Mwenzako anazungumza uhalisia, we unaleta ngonjera.
 
Kipindi cha pili kimeanza 1-1

Ateba katoka , Mukwala kaingia
 
Mqtarajio ya mashabiki ni makubwa kuliko uwezo wa timu kudeliver.
 
Tatizo mashabiki wa Simba huwa wanafunga magoli wakiwa nje ya uwanja. Na ndiyo maana hata Simba wafunge 4 bado watalaumiwa maana huku nje mashabiki wanakuwa wamefunga bao 7

πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜€
Kwasababu tunaijua uwezo wao ni beyond hicho wanachotuonesha
 
Hawa CS Sfaxien huyu ndio kipa wao chaguo la kwanza ama? Mbona kipa mbovu kiasi hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…