Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Leo ndio leo kwenye kipute hiki cha Kombe la Shirikisho Africa kati ya wenyeji Simba ya Tanzania na wageni Sfaxien ya Tunisia.

Hii ni Match Day 3 kwa timu hizi na mechi zilizopita wote walichezea kichapo ugenini (2-1 na 3-2). Leo kila mmoja anatafuta ushindi kufufua matumaini ya hatua ya makundi.

Mechi hii itapigwa saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

Nini kitatokea katika Dimba la Benjamin Mkapa leo? Kuwa nami mwanzo hadi mwisho wa mchezo huu kupitia JamiiForums.

Azam na DStv pia watarusha mechi hii.
View attachment 3177038
Nawatakia kipigo chema makolo.
 
Ahua kule kibu ni mwendo gusa achea twende kwao
 
Timu ya simba haina kiungo mkabaji halisia yaani "DM" ngoma si mzuri katika ukabaji,mkude bado anahtajika simba,mzamiru pia ni mzuri sana ila haaminiwi,timu haina winga hatari mleta majaro kaliba ya jesus du kapel moloko au tuisila kisinda badala yake ina mawinga machachali,mutale,kibu,balua na si mawinga hatari kwa timu pinzani. ateba anachezeshwa kutokana na sifa tu za mashabiki wanazompa ila kiuhalisia inatakiwa hata benchi asionekane kwani mkwala ana kazi gani si aaminiwe, jean charles ahoua ni mzuri na ni bora kuliko hao akina kapteni lucho apewe muda. wing backs ni mzigo hasa kapombe,lakini pia tshabalala ni mzuri ktk ukabaj wa 1v 1 akiptwa tu ni mzigo pia. mabeki wa kati ndo kabisa karaboua hafki kwa usahihi,hamza pancha che kidogo ni afadhari. ivi kamara anamzidi kipi manula? makolo nguvu moya ubwela+ubwege = ubaya
 
Leo lazima simbilisi wawekwe chupi upande

Yaani waarabu wamekuja na chupa za alkasusu ugwadu walionao hauelezeki

Ni simbilisi pekee ndiyo watakooelezea shuruba walizopata baadaye saa 2
 
hatoki mtu..... Point 3 muhimu 🦁
Ahmed ally.jpg
 
Haya waliomtaka Awesu kocha kakisikia kilio chao
 
Back
Top Bottom