Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
- #61
Vikosi vya leo kwa timu zote mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walisema wataonesha channel namba 225 kama sijakoseaDstv hawaoneshi hii game??
Siku zote wanaonesha channel namba 227 inaitwa SS AFRICA HD,lakini leo naona hawaoneshi mkuu.Walisema wataonesha channel namba 225 kama sijakosea
Wanaonesha channel 225Siku zote wanaonesha channel namba 227 inaitwa SS AFRICA HD,lakini leo naona hawaoneshi mkuu.
Karibunni DStv channel namba 225 kuona makolo wakitoa sare nyumbanWanaonesha channel 225
ThisDstv hawaoneshi hii game??
Mashindano ya wanawake nayo ni ya kuringia points tatu?Tukipigwa tutabaki na point 3 ila ww uko mkiani na point yako moja
😀🤣😅😀Mashindano ya wanawake nayo ni ya kuringia points tatu?
Hivi hii azam max inatakiwa ulipie sh ngapi ili uangalie mechi, maana nimelipia hapa ila naona channel za mechi bado zinagoma, na kama nimeshalipia kifurushi kimoja ili nipande kingine naweza kuupgrade au nalipia upya
Mim nalipiaga 28k, kutumia Azam maxHivi hii azam max inatakiwa ulipie sh ngapi ili uangalie mechi, maana nimelipia hapa ila naona channel za mechi bado zinagoma, na kama nimeshalipia kifurushi kimoja ili nipande kingine naweza kuupgrade au nalipia upya
Mama mstaafu ulikua unatafuta point hizi kwa kutoa jashoMashindano ya wanawake nayo ni ya kuringia points tatu?
Tucheke tuu mtani mambo ni mengiHalafu hii ya kutuita nyuma mwiko hua nacheka sana... Kolo mkubwa wewe 🤣