Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Kwani mwiko nyuma mna mpira gani mzuri kuliko simba mbona hamkushinda nyumbani na shanga zenu za shirikisho mlizopeleka ikulu?
 
Hili hatuwezi kusahau mkuu Awaah, Mukwala na Mutale hawastahili kuendelea kuwepo Simba
Ni kamq mua uliotumika alafu unaletewa yale mabaki utege.ee utamu. Wanunuzi hawafanyi utafiti wa kutosha. Mtu anakuwa wa kawaida na anaifanya team kuwa ya kwaida zaidi ya ilivyokuwa.
 
Trokaaa hujawahi kuona au ndo umeona leo?? Mtatoka vijaba vya roho..
Point tushachukua jiueni sasa ..
Kuna timu zinabebwa kama...refa kafanya yake kama ww ulibeti imekula kwako
Timu amna pale nyie kenueni lakini mko ovyo sana rejea ushindi wenu uliopita wa penalty mechi iliyopita,,Rudi kwenye mechi hii mpaka Refa apewe chochote ndio mshinde na bado unajimwambafai,,acha ujinga basi!
 
Mfumo wa uongozi wa mpira wa bongo ni wa kipuuzi sana.
Badala ya kuwa kuwapa nafasi wachezaji ili waweze kufanya vizuri, wao ni kusifia kupita kiasi hadi wachezaji wanajiona kumbe hawana deni. Kibinaadam wanabweteka na kujiona ni masuper star wanaanza maisha ya anasa
 
Jana nasi tumesawazisha dk za nyongeza kama hizi tuheshimu mpira wenzangu wa Yanga
Kaangalie vizuri Yanga alipata goli kabla ya dakika ya 4 kufika tofauti na leo ambapo goli limeeingia zaidi ya dakika mbili mbele
 

Attachments

  • IMG_20241215_183849.jpg
    188.6 KB · Views: 2
Refa kafunga mangapi
 
Dhambi zako zote apewe Labani og, umeandika kitu konk sana wamayu!!
 
Kwani mwiko nyuma mna mpira gani mzuri kuliko simba mbona hamkushinda nyumbani na shanga zenu za shirikisho mlizopeleka ikulu?
Ligi ya mabingwa unalinganisha na uchafu wenu huo,,mngekuwa kwa wanaume mngeshinda ata mechi Moja kwa Mpira wenu huo,,ebu ficha ujinga wako basi
 
Kumbuka simba na wydadi kule moroko mwaka juzi ilikuwaje.
 
Refa kashinda. FIFA na CAF waiangalie hii issue ya marefa kutokuheshimu muda halali wa mchezo na kuamua wanavyoona wao vinginevyo uhuru wa marefa unaweza kusababisha malalamiko kwa timu ambazo zinafungwa baada ya muda rasmi wa nyongeza kuisha.
Wakati kipa anapoteza muda kuanzia dakika ya 48 mbona hamkulalamika??
 
Kwani waarabu walikua hawachezi? Au waliambiwa msicheze waacheni simba wacheze?! Mbaya zaidi wamepiga Rafa! Waarabu mapimbi sana maaamae zao. Wangeondoka kimya kimya wakakate rufaa CAF
Mechi dhidi ya Wydad zilizidi sekunde tu kelele zilikuwa nyingi. Au kumbukumbu zimepotea leo hii?
 
Ficha upumbavu wako bro. Mambo mengine mnatia aibu hata kama ni ushabiki. Hivi ni kweli hujui kama zinahesabiwa dakika za kucheza na ukipoteza muda zinafidiwa?
Kwaiyo mlipofunga ndio dk za kucheza zikaishia hapo,,refa alikuwa upande wenu utake usitake ata Ile rafu ya che mallon ilikuwa ni red card kwa maana alikuwa ndio mchezaji wa mwisho,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…