Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Sitegemei mtu kama wewe unaweza kusema huifahamu CS Sfaxien, timu ambayo ni mabingwa wa kihistoria wa hili kombe la Shirikisho kwa kulitwaa mara tatu ikiwa Yanga kwa kufika fainali tu viongozi na mabiki wao wanatamba na medali kila siku
Sawa; Sfaxien ni timu kubwa sana
 
Sitegemei mtu kama wewe unaweza kusema huifahamu CS Sfaxien, timu ambayo ni mabingwa wa kihistoria wa hili kombe la Shirikisho kwa kulitwaa mara tatu ikiwa Yanga kwa kufika fainali tu viongozi na mabiki wao wanatamba na medali kila siku
Kwani wanaujua hata huo mpira?Wanahangaika na ushabiki maandazi.Waishauri timu yao inapumulia mashine.Mechi 3 pointi 1.
 
sawa,ni maoni yako hayo!Ila ila MC Alger iliyomkamda Yanga 2-0 ni ya 5 kwenye ligi huko Algeria wakati unayoidharau Constantine inaongoza Kigi!
 
Hawa Utopolo ni makenge mpaka yatoke damu ndio yanajua yameumia.Uko wa mwisho kwenye kundi lako.Unapumulia mashine na kipointi kimoja kwenye michezo mitatu bado ngebe nyingi.
 
Wewe unayejua kusoma ulete msimamo tofauti.
Ulete na wa Kundi lenu ili utufundishe kusoma msimamo wa hilo kundi.
Hujui kusoma tebo; kubali unyonge huo usamehewe
 
This is simba guvu moya
 
Umeumia sana na haya matokeo.😳😳
Pole sana, kunywa maji upumzike.
Siku nyingine usifuatilie mechi za Simba utakuja pata kiharusi😎😎
 
Leta msimamo utuonyeshe ufundi wako wa kusoma table standings.
Kubishana na watu wapumbavu ni mzigo sana. Angalia; hiyo tebo uliyoleta inaonyesha kuwa Timu yako imeshacheza michezo 11 na ina point 19 wakati timu unayoponga imecheza michezo 10 na ina point 17 yaani tofauti ya point mbili tu wakati mchezo mmoja una point tatu. Mpaka hapo hujaona udhaifu wa hoja yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…